hahahaa.. lol...ulivyo na wivu umenikumbusha mahausgirl wa jirani yangu walichomana visu wakimgombania baba mwenye nyumba!!!yeye si ana uhakika na wewe
mie nikizubaa, naogelea kwenda zanzibar
Hv na wadada tunaruhucwa kutangaza nia jaman?maana kuna mkaka humu ananisababishia tetemeko la moyo lol!
Cantalisia, funguka tu...hata kama ni rejao mtaje tu...Hv na wadada tunaruhucwa kutangaza nia jaman?maana kuna mkaka humu ananisababishia tetemeko la moyo lol!
Hv na wadada tunaruhucwa kutangaza nia jaman?maana kuna mkaka humu ananisababishia tetemeko la moyo lol!
hahahaa.. lol...ulivyo na wivu umenikumbusha mahausgirl wa jirani yangu walichomana visu wakimgombania baba mwenye nyumba!!!
Si vibaya ukavunja ukimya
Cantalisia, funguka tu...hata kama ni rejao mtaje tu...
Ni haki yako...he he he, wivu suna!
unauliza makofi polisi?
Tangaza haraka, atabebwa ubaki na kijiba cha roho
ooh Canta, karibu sana kwangu, asante kwa kuwa muwaziOrait!jaman mwenzen Rejao unaninyima ucngize mie,naomba nikubalie na moyo wangu upate kiota nafsin mwako!dah!ngoja nipumzike kidogo kumbe kutoa mtu c mchezo lol!
ooh Canta, karibu sana kwangu, asante kwa kuwa muwazi
Mapenzi kitu ajabu, yakutia bumbuwazi
Yakufanya uwe bubu, kujibu huwa huwezi
Shubiri kwako zabibu, na vitamu huviwezi.
Nimeshakufungulia moyo wangu...karibu kwangu utulie!Toa majibu bana hujui moyo wangu unavibrate hapa na unahitaji tulizo lako tu na kuwa kwenye silence mode lol!nataka kujikabidhi kwako na kuwa mali yako peke yako,ujilie vitamu kwa kujipimia kwa tani yako,plz rejao inusuru nafsi inayotanga tanga bila msaada lol!
Nimeshakufungulia moyo wangu...karibu kwangu utulie!
Moyo wako uweke kwangu, ni wewe kwangu wa pekee!
Amyner,Rejao na canta mnachakachua sredi ya watu..
hivi nyie wakaka nimewakosea nini???
mbona kila siku siku nasoma sredi za wenzangu kulaviwa na sio mimi???
yaan hata REJAO hanitaki...........duh
when u are in need, mistari lazima ishuke tu!Mmmh!! Indeed u can mek a perfect couple, u are both smhw poetic...
Rejao na canta mnachakachua sredi ya watu..