Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 944
- 545
Nimekuwa nikifuatilia utabili wa mamlaka hii kwa muda sasa.kati ya tabiri zao 10,naweza kukadiria kuwa ni 2 tu huwa wanapatia.pengine niwashauri wataalam hawa kuachana na kutabiri badala yake wawe wanaelezea tu visababishi vya matukio ya hali ya hewa kama walivyokuwa wanafanya miaka iliyopita.kwa sasa nimeondoa heshima yangu kwao.