Nsabhi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 1,093
- 162
Natangaza kugombea ubunge kupitia ccm mwaka 2015 ili niweze kuwatumikia wananchi kwa mambo yafuatayo:
1. Kusinzia bungeni
2. Kugonga meza bungeni
3. Kuwatukana wabunge wa upinzani
4. Kuwazomea wabunge wa upinzani
5. Kuikosoa bajeti ya serikali na baadaye kuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja
6.Kuwaambia wapinzani wakapimwe akili
7.Kujifanya kwamba nchi haiwezi kutawalika bila ccm
8. Kuwahadaa wananchi kuwa barabara za Tanzania zinajengwa kwa fedha za ccm.
1. Kusinzia bungeni
2. Kugonga meza bungeni
3. Kuwatukana wabunge wa upinzani
4. Kuwazomea wabunge wa upinzani
5. Kuikosoa bajeti ya serikali na baadaye kuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja
6.Kuwaambia wapinzani wakapimwe akili
7.Kujifanya kwamba nchi haiwezi kutawalika bila ccm
8. Kuwahadaa wananchi kuwa barabara za Tanzania zinajengwa kwa fedha za ccm.