King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Utameza ulimi! Ohoo!
Mmmh !
Mmmh !
natamani turudi kama zamani... nisamehe,
nimekosa... sirudii tena
Utameza ulimi! Ohoo!
Na hiki ulichoandika ni KUTAMANI pia?!:wacko:hahahahahahahaa ebwana daaah
masuse niko hapa
hee yamekuwa yale tena ya maseji afu ya kihou jintao..
natamani turudi kama zamani... nisamehe,
nimekosa... sirudii tena
Hatua ya kwanza: Vua nguo zote (mfanyaji na mfanyiwa)
Hatua ya pili: Jipakazeni mwili kwa mafuta ya massage
Hatua ya tatu: Mfanyiwa alale chini (kitumbo au kimgongo uamuzi ni wake)
Hatua ya nne: Mfanyaji atumie mwili wake against mwili mfanyiwa huku akimsugua sugua
Hatua ya tano:.............................
mh, my huz c unajua nipo bed rest. . . ni nini kinaendelea?
He he he......................... C6 ndio husby? kumbe ninaingilia territory za watu..............he he he
.....Shemeji charminglady hapo ndio pale tunasema abiria chunga mzigo wako.....
taratibu shost, huyo ndo baba kijacho wangu. kwani hajakwambia? hapa nilipo nipo hosp kanileta jana na nimepewa bed rest ya mwezi 1.
C6 tunatafutana ubaya....................wewe ndio unataka kuharibu ushoga wetu na charmingladycharminglady mpenzi kitoto kinaendeleaje? huyu Elizabeth Dominic sijui analeta maneno gani mbaya, anatak kutetelesha ndoa yangu wakati ndo kwanza kaja memba mpya wa familia
charminglady huyu Elizabeth Dominic anajifanya tu shosti wako lakini ananinyemelea, sijui nimuunganishe na yule jamaa anayekung'ang'ania labda watafaana...
Hatua ya kwanza: Vua nguo zote (mfanyaji na mfanyiwa)
Hatua ya pili: Jipakazeni mwili kwa mafuta ya massage
Hatua ya tatu: Mfanyiwa alale chini (kitumbo au kimgongo uamuzi ni wake)
Hatua ya nne: Mfanyaji atumie mwili wake against mwili mfanyiwa huku akimsugua sugua
Hatua ya tano:.............................