Natamani tubadilishane maraisi kikwete aende rwanda kagame aje tanzania

Status
Not open for further replies.

matawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2010
2,052
242
wiki iliyopita niliona report ya transparent international kuhusu rushwa nilihuzunika sana kuona Tanzania ina 28% ya rushwa, Kenya 32% na Rwanda 6.6% . Hivi raisi wetu amelogwa? mbona Tanzania kuna amani, uhuru tulipata toka 1961. Hivi Kikwete badala ya kwenda Ulaya kuzurura kwa nini asimwite Kagame aje mshauri jinsi ya kukabiliana na rushwa?????? jamani mimi roho inauma sijui kama kesho ntaamka.Kwa nini ripoti ya CAG haifanyiwi kazi, huyu ****** ana mpango gani na nchi hii???????
 
Kwa kumwangalia sura of course Rwanda watamkaribisha kwa mbwembwe!
Lakini in zero time watagundua kuwa ni mzigo wa MISUMARI!
 
Kikwete hatufai lakini hapana Kagame; Kagame ana damu ya watu wengi tu alipokuwa Msituni kwanza Uganda halafu Rwanda, Tatizo la sisi waafrika ni rahisi sana kusahau mateso tunayopewa na viongozi wanopenda kumwaga damu; nasema aheri ya kikwete anatuacha tufe na njaa kuliko yule anayetuwekea mtutu wa bunduki mdomoni kwetu

The most important kind of freedom is to be what you really are. You trade in your reality for a role. You trade in your sense for an act. You give up your ability to feel, and in exchange, put on a mask.
 
Kagame ana damu ya watu wengi tu alipokuwa Msituni kwanza Uganda halafu Rwanda,
tusiangalie uzuri au ubaya wa mtu kwa kigezo kimoja tu cha rushwa.
KIKWETE ANA MAZURI YAKE NA MAPUNGUFU YAKE, VIVYO HIVYO KWA KAGAME.
 
kagame ana damu ya watu wengi tu alipokuwa msituni kwanza uganda halafu rwanda,
tusiangalie uzuri au ubaya wa mtu kwa kigezo kimoja tu cha rushwa.
Kikwete ana mazuri yake na mapungufu yake, vivyo hivyo kwa kagame.
uzuri wa jk labda upo usoni tuuu!
 
wiki iliyopita niliona report ya transparent international kuhusu rushwa nilihuzunika sana kuona Tanzania ina 28% ya rushwa, Kenya 32% na Rwanda 6.6% . Hivi raisi wetu amelogwa? mbona Tanzania kuna amani, uhuru tulipata toka 1961. Hivi Kikwete badala ya kwenda Ulaya kuzurura kwa nini asimwite Kagame aje mshauri jinsi ya kukabiliana na rushwa?????? jamani mimi roho inauma sijui kama kesho ntaamka.Kwa nini ripoti ya CAG haifanyiwi kazi, huyu ****** ana mpango gani na nchi hii???????

Acheni hoja za kitoto,
Ukidharau nchi yako ni kujidharau mwenyewe. Roho inakuuma sababu umejazwa upepo na hoja zilizojaa humu ukidhani zote ni kweli. Jifunze kupima mambo la sivyo roho itakuuma sana rafiki. Tafuta kazi fanya kwa bidii. Pia usipokee wala kutoa rushwa, wafundishe na ndg na marafiki zako kutofanya hivo.
Kagame unamtamani wewe, nenda kaishi huko
 
Kikwete hatufai lakini hapana Kagame; Kagame ana damu ya watu wengi tu alipokuwa Msituni kwanza Uganda halafu Rwanda, Tatizo la sisi waafrika ni rahisi sana kusahau mateso tunayopewa na viongozi wanopenda kumwaga damu; nasema aheri ya kikwete anatuacha tufe na njaa kuliko yule anayetuwekea mtutu wa bunduki mdomoni kwetu

The most important kind of freedom is to be what you really are. You trade in your reality for a role. You trade in your sense for an act. You give up your ability to feel, and in exchange, put on a mask.
Wazee twende pole pole haya masaibu yetu tutayamaliza kikubwa bila kumwaga damu!!!!!!!!!!!! Huyu Bwn Kagame na Musebeni hawaachani, Rwanda damu, Kongo damu,Uganda damu, chonde chonde heri ya njaa na ukata kuliko kumwagwa damu na ukimbizi.
Hakuna cha kufikiria wala kubadilishana Maraisi. Tushukuru Mungu hapa tulipo tuendeleze siasa zetu za kibongo ahsante Mungu kuniumba nikiwa Mtanzania!!!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom