TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Wanabodi,kwa mawazo yangu binafsi naona ingekuwa vema na haki kwa viongozi Makamanda wa CDM kutafakari kwa umakini juu ya CDM DAY,siku ambayo nadhani iwe ni ile siku M4C ilipozinduliwa,achilia mbali siku ya kuanzishwa kwa chama.CREATIVITY BUILDS A STEP 4WARD