TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
- Thread starter
- #81
TandaleOne,
- Kujenga Zahanati bila kujua kuwa watu wamezitumia hizo zahanati haiwanufaishi watanzania
- Kuongeza idadi ya vituo vya afya bila kuwa na takwimu watu wangapi wamepata huduma bora za afya haisaidii
- Idadi ya madaktari walioondezeka inahusu wale waliofanya kazi nchini au ni waliosajiliwa bila kujali wameenda kufanya kazi wapi?
- Matokeo ya idadi ya wauguzi kuongezeka ni nini?
- Baada ya kugwa vyandarua malaria morbidity imepungua kiasi gani? maana niliona watu wanatumia vyandarua kuvua samaki?
- Ongezeko la machine za ulizozitaja zimesababisha wagonjwa wangapi wkapata huduma bora za afya? na maisha kiasi gani yameokolewa kutokana na mashine hizo?
- HUKO KWETU WAZEE HUJISIFIA IDADI YA NG'OMBE HUKU WAKIENDELEA KUISHI MAISHA YA KIMASIKINI.NG'OMBE HALIWI MPAKA AFE NA HAUZAWI MPAKA KUWE NA KESI LAKINI HAWEZI UZWA KWA SHUGHULI ZA MAENDELEO.
- Tueleze outcomes ya hayo uliyoyasema ili utuondoe shaka la sivyo tutajua unahitaji msaada wa haraka.
Jamii inahitaji watu kama wewe.Critics.Ni changamoto ili kufanikiwa zaidi