Elections 2010 Natamani sana mtu akanushe mambo haya kiuhalisia

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​

 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​


Nadhani ingeleta maana zaidi kama ungepima efficiency; hasa ya majengo, walimu, wauguzi n.k.
 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​


Wewe ni chizi
 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​


Ebu tusikanushe. Lakini yamechangia vipi katika maisha bora kwa kila Mtanzania? Vipi hali ya uchumu? Hali ya ufisadi? Nichague CCM ili iweje?
 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia


Huu ni utaahira ama ni mambo ya copy n paste?
 
Utoaji wa huduma za Afya uliendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa na kuleta
mafanikio yafuatayo:-
(a) Kutoka mwaka 2005 hadi 2009, jumla ya zahanati 464, vituo vya afya 98
na nyumba za waganga 394 zilijengwa.
(b) Zahanati 1,037, vituo vya afya 285 na hospitali 112 zimekarabatiwa.
(c) Zahanati zimeongezeka kutoka 4,679 mwaka 2006 hadi 5,422 mwaka
2009.
(d) Vituo vya afya vimeongezeka kutoka 526 hadi kufikia 663 mwaka 2009.
(e) Idadi ya Madaktari imeongezeka kutoka 3,528 mwaka 2005 hadi 4,502
mwaka 2010. Vile vile idadi ya Madaktari Wasaidizi imeongezeka kutoka
9,028 hadi 14,017 katika kipindi hicho hicho.
(f) Idadi ya Wauguzi na Wakunga imeongezeka kutoka 18,123 mwaka 2005
hadi 23,886 mwaka 2010.
(g) Chanjo ya watoto dhidi ya kifua kikuu, polio, kifaduro, pepopunda, donda
koo na homa ya ini iliongezeka kutoka watoto 1,243,388 mwaka 2005
hadi 1,356,421 mwaka 2009. Aidha, watoto waliopatiwa chanjo ya surua
imeongezeka kutoka 1,267,716 hadi 1,455,100 katika kipindi hicho hicho.
(h) Katika kuzuia na kudhibiti malaria Tanzania Bara vyandarua 9,000,000
vyenye viuatilifu vimegawiwa kwa watoto wenye umri wa miaka 5 mwaka
2009/2010 bila malipo. Aidha, vyandarua 4,200,000 vya hati punguzo
viliuzwa kwa mama wajawazito.
(i) Vifo vya watoto chini ya miaka 5 vimepungua kutoka 158 kwa kila 1000
mwaka 2005 hadi 75 kwa kila 1000 mwaka 2010.
(j) Aidha, katika kuleta ufanisi wa huduma za afya, mashine za kuchunguza
damu, uwezo wa figo na ini pamoja na mashine za X-Ray zimewekwa
katika kila hospitali ya wilaya na huduma za maabara zimeimarishwa.
(k) Kitengo cha magonjwa ya moyo kimeanzishwa na upasuaji unafanyika
nchini. Aidha, mashine 7 za kusafisha figo zimefungwa na hivyo
kuwezesha usafishaji wa figo kufanyika hapa nchini.
(l) Maambukizi ya UKIMWI yamepungua kutoka asilimia 7 na kufikia asilimia​


Attention seeker with Brain Haemorrhage
 
Tandale one nadhani wewe ni mgonjwa, sera za ccm unazijua 2005? kuna vitu vingine ni utaratibu wa serikali wa kawaida kabisa kama kuajiri waalim na wataalam wa afya.
 
As if hiyo 2005, chama tawala kilikuwa CUF!!!!!!!!! shaame on ur statistics!
 
kufikia asilimia 5.Kuna jingine???:becky:

Duu huwa hujui unachokioongea na kuandika. Nitakusaidia kidogo kuna watanzania 1.5 - 1.8 Mil wanaoishi kwa Ukimwi kila mwaka. According to Tanzania HIV/AIDS and Malaria Indicator Survey 2008-9 it is estimated that HIV prevalence iko 5.7%. Huna sababu ya kuwa muongo bila sababu. Hizo asilimia 5 umezitoa wapi ? ama source yako ni Yusuf Makamba?

Uje na facts, si juhudi za Kiwete ni mkatakati wa kimataifa kupunguza maambukizo ya HIV huku sub saharan Africa msidandie kama ni mafanikio yenu nyie CCM
 
Back
Top Bottom