natamani siku moja hawa watu wakutanishwe uso kwa uso ili kila mmoja ajibu hoja na shutuma kibao ambazo wamekuwa wakitupiana kwenye majukwaa ya siasa huku kila mmoja akimshambulia mwenzie. pia kama wasemaji wa vyama watueleze kama wanayohubiri kwenye majukwaa ya siasa ni practical na siyo kujitafutia umaarufu wa kisiasa.nauye ajibu kama kweli yeye ni mwanzilishi wa ccj na kupanda kwa maisha akiwa kama msemaji wa chama tawala. slaa ajibu kama kweli anapokea tsh 7.5mil meantime anapinga ufisadi na uwezekano wa kuuza bati na cement kwa tsh 15000@. na mengine kibao wanayohubiri....