Natamani ningekuwa mbunge wa chadema!

mwacheni azame kwenye lindi la posho, cdm kazeni mwendo, 2015 siyo mbali, Mungu atakuwa upande wenu. niliskikitika sana kwa jinsi wanavyo risk afya zao kuna picha moja nilimwona mbowe akila kwa mama ntilie pale laela -sumbawanga ,pale hata mimi ningesita kula. sasa mwingine huhu jf anabwabwaja kuhusu posho! kubwa jinga
 
unaweza kujiita kuwa u mwanacdm, lakini kwa post hii hata huku kwetu ccm hatukutaki maana sasa hivi tunajivua magamba na watu wenye akili unazoweza kuzielezea kwa kusoma maandishi yao hawana nafasi tena, TUNAJIVUA GAMBA
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI

Wa CCM si wako kwenye posho za kamati na wengine ni mawaziri?
 
Nowadays kuwa mbunge wa chadema ni raha sana! Huku unapiga fedha za ubunge,huku unalipwa posho ya kuandamana vijiji vyote vya tanzania! Wakivimaliza hivi vijiji akina mnyika watakuwa matajiri sana,kwa siku si chini ya laki 2 kwa miaka 5,duh! Jamaa wanatumbua sana katika hii nchi maskini! Tuliowachagua wame2toselea mbali wenyewe wanatalii tu vijijini! Sijawahi kuona siasa ya kishamba namna hii duniani kote! Kwa staili hii ccm watatawala milele! Wabunge wachadema nawaonea wivu kwa maposho mawili mawili wanayoyapata!!POSHO ZA UBUNGE NA POSHO ZA KUZURURA NA PADIRI VIJIJINI

Mawazo ya MATAKONI si lazima uchutame ndipo uyatoe, kutokana na ukuaji wa teknolojia unaweza kutoa hayo maoni au mawazo huku ukiwa unatumia PC keyboard.
Hongera kwa maendeleo.
 
'Mliowachagua wamewatoselea mbali' Unaelewa ulichoandika hapo kweli?! Kwamba wewe na wenzako ndio mliwachagua Chadema, hivyo mna haki miliki yao!! Hao Watanganyika wa vijijini hawastahili kuonana nao na kuwasikiliza....
 
Back
Top Bottom