Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Leo nimekuja Iringa, nime nunua vocha ya airtel na kuingiza mara msg 2 zikaingia. ya kwanza ni zawadi ya sms 100 na ya pili ni kifurushi cha mb 200. nikaanza kujiuliza inamaana hizi zawadi ni kwa watu wa Iringa pekee? yaani ni promo maalum? au ni zawadi za ramdhani? au ni zawadi za kila mwanzoni mwa mwezi? jibu sijapata. wana jamii naombeni jibu ili nifanye maamuzi kama ni Iringa au Dar. mana kwa mtindo huu maisha ni rahis coz no more cost of bundles ni kununua vocha na kuendelea kupruzi na kutwanga kwa kwenda mbele.