Source.. Mwananchi gazeti. Tarehe 03/09/2011
<br />Yupo sahiohi, Nape ni shupavu,jasiri na kama watapatikana wawili wa aina yake basi upinzani kwaheri.
<br />Yupo sahiohi, Nape ni shupavu,jasiri na kama watapatikana wawili wa aina yake basi upinzani kwaheri.
<br /> <br / lengo ni kuwa na uhakika kw ataiacha ccm kwenye mikono ya kichwa maji na ccm itakufa kifo cha mende, MZEE HAIPENDI CCM NI UILE BASI TU ANAONA AIB KUITOSALengo ni kuumaliza upinzani au kukisimamisha na kukiimarisha chama?????fafanua pliz<br /><br /> <br />
Source.. Mwananchi gazeti. Tarehe 03/09/2011
CCM siipendi kwa kuwa inalea ufisadi,ila Nape,Sitta,Mwaliyembe,Membe,Mwandosya,Magufuri,Tibaijuka,Migiro,Sendeka na wengio walio against mafisadi katika CCM ni wazuri.Wanaweza wakaishikilia CCM kama chama cha upinzani baada ya Chadema kuchukua nchi 2015.
Sasa huyu mzee anaanza kudhihirisha kuwa uwezo wake wa kufikiri na maamuzi uko chini ya kiwango kama kweli kasema maneno hayo. Hajui kuwa kupitia viongozi waropokaji (wasiofikiri kabla ya kusema) na wanafiki kama Nape ndio ambao wanaweza kukipeleka kuzimu chama wanachokiongoza katika Dunia ya leo?
Style ya kuongoza ya miaka 1960/70s sio ya sasa nafikiri mama Anne anapaswa kumkumbusha hilo.