rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.