natamani niandike urithi

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.

Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.
 
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.

Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.

Mkuu wewe ndo mwenye tamaa na mali pamoja na mama yako ambaye utamrithisha...Hivi wewe nani mwenye uchungu na mali zako kama sio Mke wako? mambo ya kizamani hayo mzee...mie nikifa leo Mke wangu ndo mrithi wangu na watoto wake acha wazimalize hizo mali zangu lkn ndugu zangu no even touch my WIFE on any decision abaout my wealth....
 
nikupe mfano hai, nina jirani yangu alimwandika dada yake kama msimamizi, mkewe akapinga akamdunda! Mwanamke akaona isiwe tabu akanunua kiwanja, mwanaume akacomplain na yy aandikishwe kwenye kiwanja cha mke. Baada ya ugomvi wakatengana. Leo hali ya mwanaume inasikitisha.gkwa vile watoto wako kwake mkewe analeta chakula mara kwa mara. Ila mke yupo mbali kimaendeleo ana mali chungumzima!

Hapo ndo ujue mali uchume na nani then mirathi nani! Kwa nini usigawanye mirath sehemu 3 zenye ujazo tofauti kama mkeo anayekuvumilia kwa shida na raha ana 'tamaa?'
 
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.

Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.

Duh! ..hayo mawazo yako ni ya kweli kaka? with all due respect kwa mama.. mke wako na mtoto wako ni part and parcel of yourself.

Kama humuamini mke wako kwanini unaendelea kuwa nae? Kumbuka tamaa ya mke wako haizidi uchungu kwa mtoto wake.. Think twice kaka!
 
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.

Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.

Nilifikiri ungewaza mkeo na watoto wataishije baada ya kifo chako.................we unawaza mali zako.......ukifa nenda nazo basi!
Huyo mama yako ulichuma naye?
Hata kama mkeo ana tamaa na mali,nafikiri tamaa yake ni positive ndio maana mkaweza kuwa na mali hizo....................acha ulembukeni wa mali!
 
oooh! mama mpe chake na mkeo na mwanao wape chao,haija husu malikupewa mama jee mama kama anawatoto mungu amuweke mpaka mwanao awemkubwa amrithishe jee akifaa mapema mali anapewa nani ndugu yako, yani usicheze na maisha ya mtoto wako na mkeo umechuma nae ana haki ya kutumia chako.
 
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.

Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.

Ulikwisha kufa siku mingi...........ni mzoga tu upo barabarani......................wajua nimejuaje? yeyote ambaye amezama kwenye kifo ujue amezingirwa na upofu wa dhambi na aona mauti yamemsogelea....................................achana na dhambi utafikia mahali utasahau kifo.......................
 
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.

Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.

Haya mawazo ni ya wapi wakuu
Mkeo ambaye umepata shida nae anaamka asubuhi anakuwekea maji ya ya kuoga, anakufulia mpaka na nguo nyingione umetoka nazo kwa hawara hajali, anakuvumilia kurudi kwako usiku ukiwa umelewa, sometime hata chakula alichohangaika kupika huli kisa ushakula nyumba ndogo, amekubebea mimba na kukuzalia watoto bado unasema hutaki arithi mali yako unaenda kumrithisha mama
Mkeo angekuw amtapanya mali hata hapo ulipo usingefika ungekuwa ushafilisika siku nyingi
Kasome kidogo na sheria ya masuala ya mirathi uelewe inasemaje
 
kama mimi ndo ningekuwa mkeo na nikasikia upuuzi unaotaka kuufanya nakupa kibuti cha nguvu natambaa coz ntajua nilikuwa nakaa na shetani
 
Kila siku nawaza kuhusu nani atarithi mali zangu, naomba kuuliza kama ndio dalili za mwisho wa maisha yangu kukaribia, lakini naapa sitamwandika mrithi mtoto wangu wa kiume kwa sababu mama yake ni mtu mwenye tamaa ya mali.

Urithi wangu nitamwandika mama yangu ndio msimamizi mkuu, kwisha.

mwandike japo apate ako ka pick up ka majan..USIMWADHIBU MTOTO KWA MAKOSA YA MAMAKE
NI KITU CHA HEKIMA..ANDIKA IFI U fil u wan2..write t

mkeo ump kitu?
hauna mtoto wa kike?au ndo walewale so bora umpe mama mali zako?
 
da post zooooooooote umu zmetulia.....nadhan uchoyo utamwisha...
..uyu ni wale wanume ata wakinunua juic ..anasema i ya baba..wakat wa kula mezan anakula akimaliza anachukua juic kwenye frij anajimiminia uku watoto/watu wote wanamtumbulia macho ata haya hana..uchoyo/ubnafsi moja kwamoja..

kila kitu kizuri ..paja .kidari chake ole wake mtu akipakue...atafukuzwa nyumba aende kulala nje skuiyo...

thou mkeo ajasoma post i ..lakin kwa kuwa umemwazia na kumpangia mipango mibaya hauna budi KWENDA KUMUOMBA SAMAHAN...ta km si direct lakin yakupasa kufanya malipizi..nunua japo kanga mwambie mke wangu nimeipenda i vaa....LASIVYO NAKWAMBIA LAANA YA DHAMBI YA UBNAFSI ITAKUANDAMA NA AITAKUACHA KAMWE..utashangaa unafilisika taratiibu na mkeo anaibuka na kushika mali from nowhere...

uwez jua mkeo alkuwa anavumilia mangap wakat upo nae..km angekuwa na tamaa angeishi naawe mpk sasa?
au wadhan pia ANAISHI NA WEWE CZ WEWE UNAMALI?

u mbinafsi thats y kila unachokiona ni mali tu...na jinsi ya kuztia hila..DO U THK MKEO ANA MCHANGO ATA KIDOGO KWENYE IZO MALI ZAKO?
THK TWCE BRAZA

IT SEEMS UNA UGONJWA ULE WATOTO WA KIUME UNAWAPATA.... KUMPENDA MAMAKAE KUPITA KIASI KIAS CHA KUGOMBANA NA WAKE ZAO,ATAKACHOSEMA MAMA NDO ANATAKA KITEKELEZWE KWAKE ATA KM MAMA ANAKOSEA ILI MRAD MAMA KASEMA..NA WENgne wanapitiliza na kuishi na mama zao km wapenz wao...
 
Mkuu wewe ndo mwenye tamaa na mali pamoja na mama yako ambaye utamrithisha...Hivi wewe nani mwenye uchungu na mali zako kama sio Mke wako? mambo ya kizamani hayo mzee...mie nikifa leo Mke wangu ndo mrithi wangu na watoto wake acha wazimalize hizo mali zangu lkn ndugu zangu no even touch my WIFE on any decision abaout my wealth....

mkuu nilikuwa nipo porini,asanteni wote mliojibu,lakini tatizo nitalieleza hapa peupe
 
da post zooooooooote umu zmetulia.....nadhan uchoyo utamwisha...
..uyu ni wale wanume ata wakinunua juic ..anasema i ya baba..wakat wa kula mezan anakula akimaliza anachukua juic kwenye frij anajimiminia uku watoto/watu wote wanamtumbulia macho ata haya hana..uchoyo/ubnafsi moja kwamoja..

kila kitu kizuri ..paja .kidari chake ole wake mtu akipakue...atafukuzwa nyumba aende kulala nje skuiyo...

thou mkeo ajasoma post i ..lakin kwa kuwa umemwazia na kumpangia mipango mibaya hauna budi KWENDA KUMUOMBA SAMAHAN...ta km si direct lakin yakupasa kufanya malipizi..nunua japo kanga mwambie mke wangu nimeipenda i vaa....LASIVYO NAKWAMBIA LAANA YA DHAMBI YA UBNAFSI ITAKUANDAMA NA AITAKUACHA KAMWE..utashangaa unafilisika taratiibu na mkeo anaibuka na kushika mali from nowhere...

uwez jua mkeo alkuwa anavumilia mangap wakat upo nae..km angekuwa na tamaa angeishi naawe mpk sasa?
au wadhan pia ANAISHI NA WEWE CZ WEWE UNAMALI?

u mbinafsi thats y kila unachokiona ni mali tu...na jinsi ya kuztia hila..DO U THK MKEO ANA MCHANGO ATA KIDOGO KWENYE IZO MALI ZAKO?
THK TWCE BRAZA

IT SEEMS UNA UGONJWA ULE WATOTO WA KIUME UNAWAPATA.... KUMPENDA MAMAKAE KUPITA KIASI KIAS CHA KUGOMBANA NA WAKE ZAO,ATAKACHOSEMA MAMA NDO ANATAKA KITEKELEZWE KWAKE ATA KM MAMA ANAKOSEA ILI MRAD MAMA KASEMA..NA WENgne wanapitiliza na kuishi na mama zao km wapenz wao...


rose kuna kitu nataka niweke wazi kabla hujaanza kunilaani,huyu mwanamke sio mke wangu,tumezaa lakini tuliishi pamoja kwa muda fulani tukaachana,mimi namwudumia mtoto tangu anazaliwa mpaka sasa hivi ana miaka 14,sababu kubwa iliyonifanye niwaze vile ni yule mwanamke kumilimiki mali tulizochuma tukiwa pamoja ikiwa ni pamoja ni kibanda kidogo nilichojenga kwenye uwanja wao kimakosa,
nimegundua yule mwanamke ni mtu mwenye tamaa sana ni ikitokea nikafa sasa hivi ndugu zangu na yeye itakuwa ni vita kali mno,yule mwanamke alishaolewa na anaishi na mume wake,nafikiri nimeeleweka wakuu!
 
rose kuna kitu nataka niweke wazi kabla hujaanza kunilaani,huyu mwanamke sio mke wangu,tumezaa lakini tuliishi pamoja kwa muda fulani tukaachana,mimi namwudumia mtoto tangu anazaliwa mpaka sasa hivi ana miaka 14,sababu kubwa iliyonifanye niwaze vile ni yule mwanamke kumilimiki mali tulizochuma tukiwa pamoja ikiwa ni pamoja ni kibanda kidogo nilichojenga kwenye uwanja wao kimakosa,
nimegundua yule mwanamke ni mtu mwenye tamaa sana ni ikitokea nikafa sasa hivi ndugu zangu na yeye itakuwa ni vita kali mno,yule mwanamke alishaolewa na anaishi na mume wake,nafikiri nimeeleweka wakuu!
weka kwa jina la mtoto wako
 
rose kuna kitu nataka niweke wazi kabla hujaanza kunilaani,huyu mwanamke sio mke wangu,tumezaa lakini tuliishi pamoja kwa muda fulani tukaachana,mimi namwudumia mtoto tangu anazaliwa mpaka sasa hivi ana miaka 14,sababu kubwa iliyonifanye niwaze vile ni yule mwanamke kumilimiki mali tulizochuma tukiwa pamoja ikiwa ni pamoja ni kibanda kidogo nilichojenga kwenye uwanja wao kimakosa,
nimegundua yule mwanamke ni mtu mwenye tamaa sana ni ikitokea nikafa sasa hivi ndugu zangu na yeye itakuwa ni vita kali mno,yule mwanamke alishaolewa na anaishi na mume wake,nafikiri nimeeleweka wakuu!



okkk ..nw i get u
niliZan ni mkeo wa ndoa na unaishi nae tangu enziiiii na enzi..
bas fanya iv;HAINA HAJA YA KUMUHUKUMU NA MUNYIMA MTOTO WAKO STAHIKI YAKE KWA kuhofia mama yake atafaidika na mali izo..mpe mwanao urith wake..kwan ana miaka mingap?ata km ikiwa miwili stl ana hak ya kupewa ..

ulikosea kujenga kwenye kiwanja cha mkeo/cha kwao...mara nyng uwaga vna matatizo ikwemo kuonekana mwanaume hauna chako pale simply cz kiwanja akikuwa chako...na nadhan hasira zote juu ya mkeo zmetokana na kuchuklua/kumiliki kibanda ulichokijenga kwenye KIWANJA CHAO..SAMEHE NA SAHAU..move on na tenda hak kwa mwwanao..usilalie kwenye kosa ili bas ikawa ndo reference ya kila decision unayotaka kufanya juu ya mal unaangalia kesi iyo ya kuchukuliwa kibanda chako...

ebu angalia kaka..amekudhulumu kiwanja..je alikukata mikono?
je aukuweza kujenga kibanda kingne?
je aukuweza kupata na mali nyngne?


m sure umepata mali nyngne kibaooo na nyumba nzuriii ukajenga ..so wat n y uwaze /uwe na hasira bado juu ya kibanda kile..sahau bwan..kila kitu kina sababu sweetie..uwez jua mungu alilenga nini...WEWE SHUKURU KWA KILA JAMBO ILI MRAD NGUVU UNAZO ZA KUPATA VTU VNGNE BASI KESI IYO YA KIBANDA SAHAU

sometimess tunafanya makosa....lakin tusijute na kuyabeba makosa maisha yetu yote..we hav 2 foget na ku move on

pole sana lakin.
 
Back
Top Bottom