a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha
(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members
Mara ohoo kaniombee chumvi kwa mama pili,ndo madharauyanapoanzia humokwelii smile mwanaume akitokaa kazini direct homee nomaa..ndo mambo ya wife kukwambie dear nionjee chumviii,mara dear naombaaa nisuuzie hiyo bakuliii,mazoea yakazidi
yaani unatamani mumeo arudi saa kumi nyumbani? aje kufanya nini?
Kuna mambo ya kufanya smile mnakaa pamoja ,kula pamoja ,kubadirisha mawazo kuangalia hatua za watoto pamoja,hata asipopika nitapenda awepo jikoni anaangalia mapishi ya wife heheh tunasaidiana kuonja mchuzi, tunaoga wote kiromantic romantic.Kufanya mambo mengi as a team.ingawa sio kwamba kila siku atakuwa home hiyo mida
Maisha yatakuwa matamu lakini mafupi ooh mama ..
Mtoto wewe hueshi vituko aisee kha???
Kitambo sana!.. Ila wangu unanoga asee ndio mana sijaanzisha siredi humu!...Wewe umeanza lini kuicheza huo mchiriku au mnanda
wewe sitokuweza ile idara yako sikujaliwa mchaga mie
aah wapi? hayo yapo tu .ndo mambo ya kuja kusutwa na mumeo.mi sitaki wa hivo.akiwai namrudishaKuna mambo ya kufanya smile mnakaa pamoja ,kula pamoja ,kubadirisha mawazo kuangalia hatua za watoto pamoja,hata asipopika nitapenda awepo jikoni anaangalia mapishi ya wife heheh tunasaidiana kuonja mchuzi, tunaoga wote kiromantic romantic.Kufanya mambo mengi as a team.ingawa sio kwamba kila siku atakuwa home hiyo mida
Maisha yatakuwa matamu lakini mafupi ooh mama ..
Kitambo sana!.. Ila wangu unanoga asee ndio mana sijaanzisha siredi humu!...
karibu kwenye mchiriku fidel.
Umeadimika i see hebu kagua PM huko kuna zawadi yako.
Mi hofu yangu umesombwa na mafuriko
wewe sitokuweza ile idara yako sikujaliwa mchaga mie
Jumapili ni siku pekee ya kukaa na familia na kuangalia maendeleo ya watoto
Siku zingine ni Pombe na wanawake
Teh teh tgeh duh mkuu Fidel80 umepinda aiseee
Tobaaaaaaaaa! Mswalie mtume we kijana khaaa!Aku mama weweeee mi napenda kucheza kwa nyuma sasa mchiriku mmmh