natamani mume wangu anywe pombe

a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha

(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members


Khaa Smile una mambo! Hayo maombi gani utakayotoa ya kuwafungua watu wakati tamaa zako ni kuwa na mume anayekunywa pombe?
 
kwelii smile mwanaume akitokaa kazini direct homee nomaa..ndo mambo ya wife kukwambie dear nionjee chumviii,mara dear naombaaa nisuuzie hiyo bakuliii,mazoea yakazidi
Mara ohoo kaniombee chumvi kwa mama pili,ndo madharauyanapoanzia humo
thax kwa kunielewa mkuu

 
yaani unatamani mumeo arudi saa kumi nyumbani? aje kufanya nini?

Kuna mambo ya kufanya smile mnakaa pamoja ,kula pamoja ,kubadirisha mawazo kuangalia hatua za watoto pamoja,hata asipopika nitapenda awepo jikoni anaangalia mapishi ya wife heheh tunasaidiana kuonja mchuzi, tunaoga wote kiromantic romantic.Kufanya mambo mengi as a team.ingawa sio kwamba kila siku atakuwa home hiyo mida
Maisha yatakuwa matamu lakini mafupi ooh mama ..
 
Ni kwamba tu hatukufahamiana mapema, Unafaa kuwa mke wangu maana kila ulichokitaja ndo nikifanyacho
Hv a nice weekend
Lovely......
wewe sitokuweza ile idara yako sikujaliwa mchaga mie
 
Kuna mambo ya kufanya smile mnakaa pamoja ,kula pamoja ,kubadirisha mawazo kuangalia hatua za watoto pamoja,hata asipopika nitapenda awepo jikoni anaangalia mapishi ya wife heheh tunasaidiana kuonja mchuzi, tunaoga wote kiromantic romantic.Kufanya mambo mengi as a team.ingawa sio kwamba kila siku atakuwa home hiyo mida
Maisha yatakuwa matamu lakini mafupi ooh mama ..

Jumapili ni siku pekee ya kukaa na familia na kuangalia maendeleo ya watoto
Siku zingine ni Pombe na wanawake
 
Kuna mambo ya kufanya smile mnakaa pamoja ,kula pamoja ,kubadirisha mawazo kuangalia hatua za watoto pamoja,hata asipopika nitapenda awepo jikoni anaangalia mapishi ya wife heheh tunasaidiana kuonja mchuzi, tunaoga wote kiromantic romantic.Kufanya mambo mengi as a team.ingawa sio kwamba kila siku atakuwa home hiyo mida
Maisha yatakuwa matamu lakini mafupi ooh mama ..
aah wapi? hayo yapo tu .ndo mambo ya kuja kusutwa na mumeo.mi sitaki wa hivo.akiwai namrudisha
 
Back
Top Bottom