Hakika mambo niliyoyashuhudia leo wakati watanzania tukihitimisha safari ya mtanzania mwenzetu Steven Kanumba, yamenipeleka kwenye fikra nzito za utajirisho. Nilikuwepo viwanjani Leaders na baadaye makaburi ya Kinondoni. Ule umati wa watu uliokuwepo na simulizi za wananchi wale wa kawaida sana niliowaona,yamenifanya nitambue kuwa watanzania kumbe ni wapenzi sana wa tasnia ya Filamu, hususani filamu za Kiswahili za Kitanzania.
Nimeona huu ni mtaji wa kutokea kama nikijiweka sawa. Ninatamani kuwekeza kwenye hii fani...na Inshallah naomba Mola anisaidie. Kuna pesa nyingi sana katika burudani hii ya filamu hapa Tanzania, ambayo naamini, hakuna mtu aliyechukulia hii fani serioulsy hadi leo yamefunguka haya yaliyofunguka.
Wananchi wa Tanzania wanapenda sinema zao...Lakini wanachokipata nadhani hakikidhi haja... Unahitajika uwekezaji hapa...
Nimeona huu ni mtaji wa kutokea kama nikijiweka sawa. Ninatamani kuwekeza kwenye hii fani...na Inshallah naomba Mola anisaidie. Kuna pesa nyingi sana katika burudani hii ya filamu hapa Tanzania, ambayo naamini, hakuna mtu aliyechukulia hii fani serioulsy hadi leo yamefunguka haya yaliyofunguka.
Wananchi wa Tanzania wanapenda sinema zao...Lakini wanachokipata nadhani hakikidhi haja... Unahitajika uwekezaji hapa...