njo utulie mpwapwa.dar sitapaweza bora nikatulie mwanza au mbeya
usitishike kiasi hicho mkuuu
ukiwa na mshiko wa maana
hakikisha una nyumba ya kuishi
chukua likizo rudi home kwa mwezi kwanza
angalia wapi waweza tulia na wapi pa afadhali kidogo..
ukisha fanya ka research chako basi fungasha....
yakikushinda rudi huko mjuuu..
ahahaha" umenichekesha njoo unioe mimi!mkuu napenda sana familia,ningejaliwa nipate mke kutoka nyumbani ningefurahi sana sana
Naona una utani mzuri eti, unaogopa kurudi home, kwani sisi tuliyoko huku unatuona mafala au, nguo ya kuazima haisetiri maungo.
nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.
wazee naomba nieleweke hamna utani hapa,nipo very serious,wasiwasi wangu ni kuja hapo halafu kurudi tena huku,
tumeona wengi wamejaribu kuja lakini wakarudi baada ya miezi michache wakiwa wamechoka
wazee naomba nieleweke hamna utani hapa,nipo very serious,wasiwasi wangu ni kuja hapo halafu kurudi tena huku,
tumeona wengi wamejaribu kuja lakini wakarudi baada ya miezi michache wakiwa wamechoka
EAST OR WEST HOME BEST. kimbia haraka, njoo nyumbani hata kama kuna mgao wa umeme, kibatari kipo, koroboi ipo. hata kama hakuna godoro utaridhika kwani hapo kitovu chako kipo. kwani wewe umeme ulianza kuutumia lini? au wewe ni mtoto wa.........????nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.
mkuu natamani sana kuja tujenge nchi,lakini naomba waondoeni ccm kwanza,wanakatisha tamaa sana mkuu