Kile kiini macho anachokihubiri JK cha kujivua Gamba akiwataja mapacha watatu wakati yeye akijiweka pembeni, natamani nikione mapema kwani kujivua kwao kutaleta mpasuko mkubwa ambao haujawahi tokea ndani ya chama hicho hali ambayo inaweza kupelekea na yeye kujivua gamba bila kupenda na ndo mazishi ya CCM.