bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
Asanteni kwa ushauri. Nitaufanyia kazi. Ila kumbukeni kuwa huyu mwanaume ni muislamu kwa hiyo nilijua fika kuwa atanioa. Na mara kwa mara alikuwa anaamia kwangu na kukaa hata siku mbili hivyo niliona kama hamna jinsi ya yeye kunitema. Nitajitahidi kumsahau.
Wewe acha ushamba na ujinga wako huko, tena ujue unatuchafua sana wanawake wenzio, kwani unadhani akiwa muislam ndo lazima aoe wake zaidi ya mmoja? Kubali ushatumiwa, basi nenda katubu kwa muumba wako kwa kumkosea mwenzio heshima na kutumia mali ya mwenzio tena kwa wizi. Then njoo utuambie umebadilika tukushauri nini ufanye ili umpate aliye wako.