Nikitaka nipate namna na mimi niwablock. Mkuu kama una njia ya kuwa-block naomba uweke hapa jamvini kwani wanakera kuliko kawaida. Naamini staff wote wa tigo ni mambumbumbu. Wanafikiri kututumia sms ndo watauza? kama nitashindwa kuzuia nami naitupa line ya tigo chooni.
Kiukweli mi nina line zote, tigo sanasana ni kwa ajili ya kupokea cm, sipigi. Airtel nao wana tatizo kuwa hakuna stations za Airtel money mtaani, so ukitaka kuweka mda wa maongezi lazima ukanunue na kukwangua mi-vocha, tofauti na tigo na voda, unajinunulia kutoka akaunti yako...Hamia airtel!
Okey, nitafutie yenye namba 777777 au 555555 fasta!Haya orodhesheni namba zenu mnazotaka mi nitawapatia Code ya huku kwetu.
Karibuni sana na mjisikie mpo nyumbani.