Natamani kuifunga jela mifupa yake

Mtoa maada nadhani anaangalia upande moja tu, lakini nyerere alifanya mazuri sana kwa tanzania, unaposema heri ya mkoloni unakosea, tanganyika ilitoka kwa mkoloni baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia, tulikuwa chini ya msimamizi mwingereza ambaye hakufanya ujenzi wowote wa maana tanzania, mtazamo wake ulikuwa zaidi kenya ambako ndiko aliwekeza zaidi, alitoa malighafi tanganyika na kupeleka kenya. Wako watanganyika waligungu upuuzi huo wa waingereza na walipambambana kabla mauti hayajawakuta kwa hila hizo za wangereza, mfani ni mzee mtwa mkwawa, twajua aliuwawa na waingereza kule ukerewe. Muda mfupi babla ya tanganyika kuwa huru, yaani kuanzia miaka ya 1958 waajiriwa wengi kwenye mabenki walikuwa ni waafrika wenye asili ya asia, waliwa mikopo ya ujenzi na dhamani zikiwa hati za nyumba mbalimbali walizokuwa nazo hapo dar, miaka 1960 waliziiba zote kule benki, na ndiyo sababu ya kizitzifisha nyumba hizo kwa maslsahi ya taifa. Baada ya uhuru, mtazamo wa watanganyika ulikuwa baada ya nchi kuwa huru hawaitaji kinya kazi, maana waliami kuwa kazi utumwa, mwl alijitahiidi sana kuwabadilisha kwa ujumbe mbalimbali kama uhuru ni kazi, siasa ni kilimo n.k. Kuhusu kusaidi nchi za nje, hakuna asiye fahamu kuwa kila nchi ina sera za nje, mwl aliami kuwa bila nchi nyingine za africa kuwa huru tz haitakuwa huru, hakuna asiye jua uwepo wa wakoloni afrika ulikuwa nitishio kwa serikali zilizopo madarakani, yapo meemgi ya kueleza, fanya uafiti ndio uje na hoja
 
Mtoa maada nadhani anaangalia upande moja tu, lakini nyerere alifanya mazuri sana kwa tanzania, unaposema heri ya mkoloni unakosea, tanganyika ilitoka kwa mkoloni baada ya vita kuu ya kwanza ya dunia, tulikuwa chini ya msimamizi mwingereza ambaye hakufanya ujenzi wowote wa maana tanzania, mtazamo wake ulikuwa zaidi kenya ambako ndiko aliwekeza zaidi, alitoa malighafi tanganyika na kupeleka kenya. Wako watanganyika waligungu upuuzi huo wa waingereza na walipambambana kabla mauti hayajawakuta kwa hila hizo za wangereza, mfani ni mzee mtwa mkwawa, twajua aliuwawa na waingereza kule ukerewe. Muda mfupi babla ya tanganyika kuwa huru, yaani kuanzia miaka ya 1958 waajiriwa wengi kwenye mabenki walikuwa ni waafrika wenye asili ya asia, waliwa mikopo ya ujenzi na dhamani zikiwa hati za nyumba mbalimbali walizokuwa nazo hapo dar, miaka 1960 waliziiba zote kule benki, na ndiyo sababu ya kizitzifisha nyumba hizo kwa maslsahi ya taifa. Baada ya uhuru, mtazamo wa watanganyika ulikuwa baada ya nchi kuwa huru hawaitaji kinya kazi, maana waliami kuwa kazi utumwa, mwl alijitahiidi sana kuwabadilisha kwa ujumbe mbalimbali kama uhuru ni kazi, siasa ni kilimo n.k. Kuhusu kusaidi nchi za nje, hakuna asiye fahamu kuwa kila nchi ina sera za nje, mwl aliami kuwa bila nchi nyingine za africa kuwa huru tz haitakuwa huru, hakuna asiye jua uwepo wa wakoloni afrika ulikuwa nitishio kwa serikali zilizopo madarakani, yapo meemgi ya kueleza, fanya uafiti ndio uje na hoja

Kuna vitu sijavielewa kwenye hilo bandiko lako, nadhani umefanya haraka sana kwenye kuandika...!

Tafadhali pitia upya ulicho kiandika kisha rekebisha ili tupate kukuelewa.


Samahani lakini kama nitakuwa nimekukwaza.
 
Kuna watu akili zao zipo kama Megamind, yule character wa kwenye filamu za vikatuni.
 
Hii ni kazi kubwa umeifanya muheshimiwa, na bado itaendelewa kufanywa na wengi kwa kipindi kirefu mpaka watanzania waone kile ambacho ukungu wa propaganda za wanasiasa ambao si kwamba tu wanamapungufu ya uzalendo lakini pia hawana uchanganufu yakinifu juu ya suala zima la historia ya nchii hii.

Kaburi la Tanzania lilichimbwa na mtu ambaye sera potofu zinazoendelea kufundishwa kutoka elimu ya msingi mpaka vyuoni mtu huyo anatajwa kama ndiye muasisi wa tanzania, mtu huyu anatajwa kama ndiye mtu aliyeiletea tanganyika uhuru, mtu huyu anatajwa kama ni kingozi wa kipekee wa tifa hili, kwa yakini itachukua muda mrefu kwa uwozu huu wa kifikra kufutika kwenye bongo za watanzania.

Kutilia nguvu kwenye mada ambayo ni yakizalendo na iliyo tulia ni kuwa, Watanzania waliporwa mali zao kupiti a azimiao la Arusha, ujasiriamali wakati wa mwalimu ulikuwa ni kosa la jinai, leo jua limezama ndo watanzania wanaukumbuka ujasiriamali. Sera za ujamaa na kujitegemea ndo kabisa zilitufanya vilema wa fikra na uchumi, kwanza sera hizi ziliwahamisha watanzani aktika makazi ambayo wameshayajenga na kuweka miundo mbinu na huduma za kijamii na kuwapeleka kwenye makazi mapya ambayo huduma hizo inabidi waanze moja, utakumbuka ni katika kipindi hichi watanzania tulianza kula ugali wa njano. Hatukuwa peke yetu kwenye hili, Ethiopia nao walikuwa na sera kama hizi na kilema kilicho wapata wanakiuguza mpaka leo.

Elimu ilikuwa na mapungufu mengi, achilia mbali ilikuwa imebeba maudhui ya kikoloni lakini zaidi hakikuwa ni kitu chenye kipao mbele kwenye sera za mtu anayeitwa muasisi wa taifa hili, unashangaa ni kwanini mpaka leo tanzania tunaogopa kuingia kwa nguvu zote kwenye jumuiya ya Afrika mashariki, ni kwa vile hatuna wasomi, hatuna kabisa,mkopo wa elimu kidogo, nasema kidogo umekuja kuongeza idadi ya hao tunao waita wasomi, ni mwishoni wa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya 2000 tanzania tumeanza kushuhudia vyuo vikuu vikijengwa na taasisi zingine zikilazimishwa kufanywa vyuo vikuuu. naungana na mada na ni sahihi kama tu ingewezekana kuifunga mifupa yake basi tungeifunga, hata hivyo kwa fikra huru na mitazamo ya wasomi huru wasio fuata umaarufu au mkumbo wa kisiasa tutaifunga mifupa ya kiongozi huyu aliyeshindwa kutekeleza kwa vitendo wajibu wake na kulifanya taifa hili kuwa ni ombaomba tangu kifikra mpaka kiuchumi.
 
dah nimeshangazwa sana na huyu jamaa na maelezo yake,yani huyu jamaa ni mdini kupindukia hata haoni hoja ya post,ni ukweli nyerere ndo chanzo cha umasikini wetu,we nchi gani unataka kuchcange dola hata ikiwa moja eti mpaka upate kibali cha ikulu?!!!! haya ndo mambo ya nyerere,sasa huyu jamaa badala ya kujibu hoja analeta udini,aseme ni kijiji gani kilichoendelea kwa sera ya nyerere ya maendeleo vijijini kama upuuzi tu,badala ya kujibu hoja analeta chuki zake za kipumbavu kwani ulisikia huyo jk au mwinyi ana shida ya kuliliwa na wewe au hata huyo nyerere unaemlilia hadi sasa unafikiri kilio chako kitamsaidia? ni matendo tu kule,na kina kolimba na kigoma malima wanaishu nae mbele ya mungu yule lazima iwekwe mahakama,hater,mdini mkubwa we
 
Ndugu x kwa taito yako ni kama nyerere anataka kuifunga jela mifupa ya fulani. Yaani unamnukuu jk
 
Hongera sana mkuu@X-P!.pamoja na dhulma yote hiyo ya kuwavalisha watu magunia ya mbolea nashangaa bado watu wanaliabudia jina lake. Natamani kuichoma moto mifupa yake kwa kitendo chake kuzivamia nchi za watu zenj & ug.
 
WATANGANYIKA wengi walidanganywa na NYERERE,aliwaaminisha yakua amani ya nchi hile aliileta yeye, wakati hatukumbuki vita kabla ya kutawala yeye.

Na jengine ni hilo la ELIMU nchi nyingi kama sio zote duniani elimu ya premary ni bure sasa sijui lipi litufanye tumuone nyerere ni wakipekee.

Muungu amuongezee adhabu huko aliko(Amin)
Eeemen! Eeeemen, Amina.
 
Back
Top Bottom