Natamani kuifunga jela mifupa yake

mabata madogo dogo
mabata madogo dogo
yanaogelea
yanaogelea
katika shamba nzuri ya miti ya juu
katika shamba nzuri ya miti ya juu
yanalia kwe kwe kwe
yanalia kwe kwe kwe
mabata madogo dogo
 
Mtoa hoja ana hasira na Baba wa taifa maana alivunja mfumo wa uchifu wakati babu yake alikuwa chifu so benefit zote za uchifu zilijivua gamba,aha aha...utajifunga mifupa yako mwenyewe aha aha!
Ni kweli mkuu, ulijuwaje weye...Duh!
 
BURE KABISA!
huyu ni kama jamaa yangu mmoja ambaye familia yao ya kifisadi iitaifishiwa mali enzi za nyerere, ye kila kitu kuhusu Nyerere anachukia tu!
UPUMBAVU WAKE HAUFIKII HATA AKILI UA BABU YAKO!
Vipi utampenda mtu aliye kudhurumu, Eh! Kumbe enzi za Nyerere kulikuwa na riya ambao ni mafisadi...! Hivi ufisadi ni nini? Kuwa na mali, maduka, au...!
 
Nimekaa na waislamu wengine sana hapa Tanganyika na wale wa zenjbar, katika hoja zao juu ya mwalimu nimegundua wanachuki naye binafsi.
Nasema mnachuki binafsi na mwalimu na kasumba yenu ya kibaguzi iliyojaa katika dini yenu ya kiibilisi.
Marais watatu waliofuata baada ya mwalimu, wamelifanyia nini hili taifa zaidi ya kuliangamiza.?
Mukikutana na mwinyi na jk mnawakenulia meno kwasababu ni waislamu wenzenu. Msidhani wakristu ni wajinga kiasi hicho, tunaona na kuwatazama tuu, siku ya siku ndio mtajua kwamba hamvumiliki.
Angalia vita kubwa mlioipiga zidi ya mkapa, bado hamjachoka tuu.
Mnaendelea vijembe zidi ya pinda.
jk analifahamu hili vizuri na ndio maana hathubutu kuwayumbisha wakristu kwasababu anajua tutakachomfanya, lazima mjue hakuna anayewafagilia kwa akili zenu za kipuuzi.
mnakenua meno na mwinyi wenu aliyetaka kuifanya tanzania nchi ya kiislamu, nyerere aliliona hilo na kumpiga vijembe hadharani.
Tatizo lako udini umeuweka mbele, na akili yako imeingia kiza, uoni chochote kile...!

Kwani ujui hata Wasabato na walokole walikuwa wanalia enzi za Nyerere?

Na kama Nyerere alikosea, tukisema inawauma nini? Makosa ya mtu ni makosa hata kama mwenyewe alikufa. Kwamba sasa hayuko duniani ndio wakati mzuri wa kujiuliza kwa nini alikuwepo, na dunia ilipata faida gani kuwa naye. Na sasa hatunaye, dunia ina pengo gani kumkosa?

Nyerere atabaki kuwa Baba wa Taifa hili na tutamuheshimu milele yote.
Nakwambieni hakuna atakayedondosha chozi hata mwinyi na jk watutoke leo kwa udini mnaouendeleza hapa nchini.

Pole sana maana hata mafundisho ya dini yako huyajui.

Wala usimwite mtu baba duniani, maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Wala wasiitwe viongozi, maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Mathayo 23:9-10
 
tatizo sisi watanganyika tunamuona nyerere ni mtakatifu.. wakati alikuwa na mapungufu yake.. yakamkimbiza madarakani.. pia tusisahau alikuwa na uzuri wake.. alikuwa hawaonei aibu wala rushwa
 
Elimu ya bure hata wakoloni walitoa.
Al Qaida, bila yeye wote mneishia masjid....hauna haya wala fadhila. Kwa ujinga wenu wa kuzaliwa nao, hata ajira sijui mngepata wapi. Nasema hivyo kwa kuwa wewe najua ni mdini, na unamchukia kwa sababu hiyo. I've read you before..endeleeni ila itakula kwenu!
 
Al Qaida, bila yeye wote mneishia masjid....hauna haya wala fadhila. Kwa ujinga wenu wa kuzaliwa nao, hata ajira sijui mngepata wapi. Nasema hivyo kwa kuwa wewe najua ni mdini, na unamchukia kwa sababu hiyo. I've read you before..endeleeni ila itakula kwenu!
Hasiye na fadhila ni huyo baba yenu mtakatifu Nyerere...!Eti al Qaida... ndio madudu gani? Yaaani Nyerere alikuwa Al Qaida? Duh!

We Rose unalipa kama avatar yako ilivyo lakini? Huwa unatoa?

Huna unacho fikiria zaidi ya uzinifu tu.
 
Nimekaa na waislamu wengine sana hapa Tanganyika na wale wa zenjbar, katika hoja zao juu ya mwalimu nimegundua wanachuki naye binafsi.
Nasema mnachuki binafsi na mwalimu na kasumba yenu ya kibaguzi iliyojaa katika dini yenu ya kiibilisi.
Marais watatu waliofuata baada ya mwalimu, wamelifanyia nini hili taifa zaidi ya kuliangamiza.?
Mukikutana na mwinyi na jk mnawakenulia meno kwasababu ni waislamu wenzenu. Msidhani wakristu ni wajinga kiasi hicho, tunaona na kuwatazama tuu, siku ya siku ndio mtajua kwamba hamvumiliki.
Angalia vita kubwa mlioipiga zidi ya mkapa, bado hamjachoka tuu.
Mnaendelea vijembe zidi ya pinda.
jk analifahamu hili vizuri na ndio maana hathubutu kuwayumbisha wakristu kwasababu anajua tutakachomfanya, lazima mjue hakuna anayewafagilia kwa akili zenu za kipuuzi.
mnakenua meno na mwinyi wenu aliyetaka kuifanya tanzania nchi ya kiislamu, nyerere aliliona hilo na kumpiga vijembe hadharani.

Nyerere atabaki kuwa Baba wa Taifa hili na tutamuheshimu milele yote.
Nakwambieni hakuna atakayedondosha chozi hata mwinyi na jk watutoke leo kwa udini mnaouendeleza hapa nchini.
Duh unatia huruma kwa kweli. Unahitaji msaada tena wa haraka. Njia nzuri ya kupambana na mtoa hoja ni kujibu hoja na si kulalamika au kukimbilia kwenye dini. Hili chaka la dini linawasaidia wengi saana kuficha akili yao. Hebu tujikwamua tuseme, sasa hoja itajibiwa kwa hoja. Mbona Nyerere anapositive nyingi saana huenda kuliko hata negatives!
 

Ndio maana leo hii kila nikikumbuka madhira ya utawala wake inanifanya nitamani kwamba mifupa yake ipelekwe gerezani. Kwani ni yeye aliyeasisi siyasa na sera mbovu dhidi ya taifa ili la Tanzania, na mpaka leo hatujainuka tena.

hivi mwalimu mzuri akikufundisha na wewe ukawa mwisho ni kosa lake?

Ni nini hakutuonya kuhusu EL na JK???

kama uko fair utajua kwamba alituambia tusiwachague sie tukashangilia boyzIImen

tunavuna tulichopanda
 
Al Qaida, bila yeye wote mneishia masjid....hauna haya wala fadhila. Kwa ujinga wenu wa kuzaliwa nao, hata ajira sijui mngepata wapi. Nasema hivyo kwa kuwa wewe najua ni mdini, na unamchukia kwa sababu hiyo. I've read you before..endeleeni ila itakula kwenu!

Acha kuhubiri udini wewe...wakati mwingine nakubaliana na JK udini unashka kasi na 2takuja kuchinjana cku moja kwa mambo haya,mtoa hoja kwenye hoja yake hajataja uislamu..ingawa cjakubaliana na hoja yake lakini nimeshangazwa na kauli yako ya udini.
 
hivi mwalimu mzuri akikufundisha na wewe ukawa mwisho ni kosa lake?

Ni nini hakutuonya kuhusu EL na JK???

kama uko fair utajua kwamba alituambia tusiwachague sie tukashangilia boyzIImen

tunavuna tulichopanda
Kwani ujawahi kuona au kusikia mwalimu anamchukia mwanafunzi, na hata akiombwa msaada anatoa rejea (reference ) ambazo anajuwa kabisa kuwa huyo mwanafunzi hana uwezo wa kuzipata au kuzi thibitisha?
 
Unataka kunambia wale wote waliosoma enzi za ukoloni walikuwa wanalipa, kuanzia darasa la kwanza mpaka la nne, na kuendelea mpaka la nane!?

Wewe wa wapi wewe!?
Elimu ya ukoloni ilikuwa elimu ya kibaguzi. Walikuwa wanachukuliwa watoto wa machifu kwanza na wale wa matabaka ya civil servants kwenye serikali ya wakoloni. Kwa mtoto wa mlala hoi kupata elimu ilikuwa jambo la nadra sana.
 
Elimu ya ukoloni ilikuwa elimu ya kibaguzi. Walikuwa wanachukuliwa watoto wa machifu kwanza na wale wa matabaka ya civil servants kwenye serikali ya wakoloni. Kwa mtoto wa mlala hoi kupata elimu ilikuwa jambo la nadra sana.
Ah! kaka wazee wangu hawakuwa machifu na walisoma vema tu, babu yangu alikuwa daktari Pale Kibong'oto, hakuwahi kuwa chief, wala baba yake hakuwa chief, lakini alisoma na wakoloni wakamkubali, na udaktari akaupata.

Ila kwa upande wa Mama yangu... ooooh! Kweli walikuwa Machief, ila naambiwa kuwa walisoma na watoto wa makabwela...!

Ila sasa nashangaa hao Civil servant au watumishi wa umma si wanakuwa nao angalao darasa la nane kama si la nne. Au nao walikuwa watoto wa machief!?
 
Kama ni kombe basi unastahili kombe la dunia...
chuki zako peleka huko huko na sio humu.
 
Hadi mtu unafikia unataja mifupa ya mtu aliyelala!!

Hadi mtu unafikia unataja mifupa ya mtu aliyelala!!

Hadi mtu unafikia unataja mifupa ya mtu aliyelala!!

Oooh!! Mwenyezi Mungu, wewe ndiye uliyetuumba. Sasa nakuomba unipe subira. Nifanye nipate ujasiri wa kutabasamu tu na kunyamazia matusi ya X-Paster, nipe ujasiri huo sasa.
 
Tatizo lako udini umeuweka mbele, na akili yako imeingia kiza, uoni chochote kile...!

Kwani ujui hata Wasabato na walokole walikuwa wanalia enzi za Nyerere?

Na kama Nyerere alikosea, tukisema inawauma nini? Makosa ya mtu ni makosa hata kama mwenyewe alikufa. Kwamba sasa hayuko duniani ndio wakati mzuri wa kujiuliza kwa nini alikuwepo, na dunia ilipata faida gani kuwa naye. Na sasa hatunaye, dunia ina pengo gani kumkosa?



Pole sana maana hata mafundisho ya dini yako huyajui.

Wala usimwite mtu baba duniani, maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Wala wasiitwe viongozi, maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Mathayo 23:9-10


Hapo umenukuu tu hicho kifungu ila umeshindwa kutafsiri maana
 
Unataka kunambia wale wote waliosoma enzi za ukoloni walikuwa wanalipa, kuanzia darasa la kwanza mpaka la nne, na kuendelea mpaka la nane!?

Wewe wa wapi wewe!?

Hivi wewe unaongea lugha gani. Twambie shule uliyosoma wakati wa mkoloni na hukulipia? Watu walikuwa wanakimbizwa kama vimburu kulipa kodi ya kichwa itakuwa karo za shule? Wacha majungu kijana!
 
Ama kweli Mujahidina wameazimia kummaliza Baba wa Taifa hadi kaburini! Tatizo lako huna upeo wala weledi wa kufanya upembuzi yakinifu wa mazuri na mabaya ya Nyerere. Kazi hiyo waachie waliosomea Political Science, siyo kutuletea insha zako uchwara za level ya Form 2 kwa vile tu unajua utapata audience. Hizo Bible quotes zako hazi-impress wala kubabaisha mtu, na isitoshe hazifichi ukweli kuwa motivation pekee iliyokufanya uandike huu utumbo ni udini. Wewe kazania hiyo misahafu na mizizi yako bro! Haya madudu mengine yana wenyewe.
 
Back
Top Bottom