uji si unajulikana jamani? Au kuna uji gani tena?
<br />Jamani wapendwa mwezi mtukufu ndo umeisha bahati mbaya sijapata hata ka mwaliko kamoja ka futari hata ka uji jamani.why meee?
Wewe umemualika nani? Mimi sikualikwa na mtu yeyote nikataka nianze lawama, lakini nilipokumbuka kwamba namimi sikumualika mtu yeyote imenibidi nikae kimya. na mbaya zaidi nilihisi nitamkwaza mtu maana mimi huwa nafuturu futari ya KitimotoJamani wapendwa mwezi mtukufu ndo umeisha bahati mbaya sijapata hata ka mwaliko kamoja ka futari hata ka uji jamani.why meee?
hata iyo inanifwaawewe umemualika nani? Mimi sikualikwa na mtu yeyote nikataka nianze lawama, lakini nilipokumbuka kwamba namimi sikumualika mtu yeyote imenibidi nikae kimya. Na mbaya zaidi nilihisi nitamkwaza mtu maana mimi huwa nafuturu futari ya kitimoto
uji wa maindi uliowekewa pilipili
Ningalijua ningali ku-PM besthata iyo inanifwaa
aaah mi napenda huo bwana mtamuuuu
ukialikwa niambie nikusindikize