Natamani kuchana vyeti!

sisame

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
365
320
Jamani mwenzenu tangu nimegraduate 2011, B.A Community Development, tena nina GPA nzuri tu, na ni mtu wa kujituma, lakini sijawahi pata ajira mahali popote, NGOs ni nyingi lakini sijawahi hata kuitwa kwa interview katika NGOs zote nilizoomba.

Japo naendelea kupambana na maisha ktk nyanja za kilimo na ufugaji lakini duuuh nikiwaona wenzangu wapo makazini (tena wengine nilikua nikiwabeba kwenye group assignments) napata shida nafsini mwangu to the extent that natamani kuchana vyeti vyangu vyoote nikae kama vile sikuwahi kwenda shule kabiiisaaaa.

Kuna wakati nilitembea maofisini katika ofisi ambazo nafahamu fika wanafanya shughuli zinazohusiana na maendeleo ya jamii nikiomba kujitolea buuureeee kabisa, nauli yangu, lunch yangu, wao wanipe kazi tu niwe nazifanya, tena nitazifanya kwa moyo, lakini sikupata hata pahala pamoja!

Nina mapenzi makubwa sana na profession yangu lakini sasa navunjika moyo, najiuliza nini kinasababisha nisikubaliwe hata pale ninapokua tayari kufanya kazi bure (Volunteering), nimefunga na kuomba kwa kila hali, sasa nimebaki kuhangaika na nafsi tu, nawaza kuchana vyeti vyangu vyote, na mabaki niyachome moto, iwe habari yangu ya shule imeishia hapo!
 
Usikate tamaa,usichane vyeti endelea kuamini Mungu yupo akili yako inapoishia ndipo Mungu anapoanzia.
Mimi nilimaliza chuo 2010,nilihangaika km wewe,nilitembea ofisi nyingi na kuomba kujitolea,nilifunga na kuomba pia lakini kuna kitu huwa tunasahau km Vijana kumtolea Mungu kile kidogo tunachokipata na pia kuwa waaminifu katika njia zake.
Kingine nakumbuka nilitwa interview nyingi tuu hii ya mwisho nilimwambia Mungu km sijapata kazi siombi kazi sehemu yeyote zaidi niliamua kujiajiri,nilishirikiana na rafiki yangu kufungua kampuni ,ikawa inafanya kazi vizuri tuu sikuwa na mpango na nilisahau hata km nilifanya interview sehemu.
Ilikuwa mwezi 11/2015 rafiki yngu ananitumia SMS kwamba nimepata kazi serikalini nimepangiwa sehemu fulani wakati toka nifanye interview ni miezi kama 4 na kuna watu tuliofanya nao walishaitwa kazini .
Nimeandika hivi ili kukupa moyo,amini km umesoma kazi utapata hata km sio serikalini tena pale ambapo ulikuwa huna mpango kabisaaa,ila usibweteke jaribu kufanya biashara hata za matunda usione aibu.
 
Jamani mwenzenu tangu nimegraduate 2011, B.A Community Development, tena nina GPA nzuri tu, na ni mtu wa kujituma, lakini sijawahi pata ajira mahali popote, NGOs ni nyingi lakini sijawahi hata kuitwa kwa interview katika NGOs zote nilizoomba. Japo naendelea kupambana na maisha ktk nyanja za kilimo na ufugaji lakini duuuh nikiwaona wenzangu wapo makazini (tena wengine nilikua nikiwabeba kwenye group assignment) napata shida nafsini mwangu to the extent that natamani kuchana vyeti vyangu vyoote nikae kama vile sikuwahi kwenda shule kabiiisaaaa!
Kuna wakati nilitembea maofisini katika ofisi ambazo nafahamu fika wanafanya shughuli zinazohusiana na maendeleo ya jamii nikiomba kujitolea buuureeee kabisa, nauli yangu,unch yangu, wao wanipe kazi tu niwe nazifanya, tena nitazifanya kwa moyo, lakini sikupata hata pahala pamoja! nina mapenzi makubwa sana na profession yangu lakini sasa navunjika moyo, najiuliza nini kinasababisha nisikubaliwe hata pale ninapokua tayari kufanya kazi bure (Volunteering), nimefunga na kuomba kwa kila hali, sasa nimebaki kuhangaika na nafsi tu, nawaza kuchana vyeti vyangu vyote, na mabaki niyachome moto, iwe habari yangu ya shule imeishia hapo!
 
Chukua CV yako...toa copy halafu funga na uiombee...utaleta ushuhuda hapa....our God lives....hawez kukuleta mpka chuo kikuu alafu akuache....
Ahsante kwa kunitia moyo, amini amini nimewahi hadi kufunga siku 40, nimewashirikisha wachungaji na wanawake wenzangu mpaka nimechoka, yaani wadogo zangu wanaanza chuo 'til wanamaliza, wanapata kazi eti mimi nipo tu! Kuna wakati nalalamika mbele za Mungu namwambia mbona umenipa fumbo kubwa sana, najisikia vibaya sana!
 
Jamani mwenzenu tangu nimegraduate 2011, B.A Community Development, tena nina GPA nzuri tu, na ni mtu wa kujituma, lakini sijawahi pata ajira mahali popote, NGOs ni nyingi lakini sijawahi hata kuitwa kwa interview katika NGOs zote nilizoomba. Japo naendelea kupambana na maisha ktk nyanja za kilimo na ufugaji lakini duuuh nikiwaona wenzangu wapo makazini (tena wengine nilikua nikiwabeba kwenye group assignment) napata shida nafsini mwangu to the extent that natamani kuchana vyeti vyangu vyoote nikae kama vile sikuwahi kwenda shule kabiiisaaaa!
Kuna wakati nilitembea maofisini katika ofisi ambazo nafahamu fika wanafanya shughuli zinazohusiana na maendeleo ya jamii nikiomba kujitolea buuureeee kabisa, nauli yangu,unch yangu, wao wanipe kazi tu niwe nazifanya, tena nitazifanya kwa moyo, lakini sikupata hata pahala pamoja! nina mapenzi makubwa sana na profession yangu lakini sasa navunjika moyo, najiuliza nini kinasababisha nisikubaliwe hata pale ninapokua tayari kufanya kazi bure (Volunteering), nimefunga na kuomba kwa kila hali, sasa nimebaki kuhangaika na nafsi tu, nawaza kuchana vyeti vyangu vyote, na mabaki niyachome moto, iwe habari yangu ya shule imeishia hapo!
C bora we umejiajiri wengne bado wanalishwa shukuru mungu kwa icho kidgo
 
Ahsante kwa kunitia moyo, amini amini nimewahi hadi kufunga siku 40, nimewashirikisha wachungaji na wanawake wenzangu mpaka nimechoka, yaani wadogo zangu wanaanza chuo 'til wanamaliza, wanapata kazi eti mimi nipo tu! Kuna wakati nalalamika mbele za Mungu namwambia mbona umenipa fumbo kubwa sana, najisikia vibaya sana!
Tatizo wengi mnasoma bila kujua ni nini utafanya baada ya kupata cheti. Hili ni kosa kubwa
 
Usikate tamaa Dada yangu, Usivunjike Moyo......Kila kitu kina Mwisho na Mwanzo wake.......... . ..Lazima ubakie na Matumaini,IPO Siku yako.
You can count years my dear, wadogo zangu wanaanza vyuo wanamaliza, wanapata kazi mimi nipo nawaangalia tu! I really, feel bad to the extent I don't want to set my eyes on my certificates anymore! Over a long period now I am thirsty of tearing my certificates into smallest pieces and I must make sure they remain only ashes!
 
Usikate tamaa,usichane vyeti endelea kuamini Mungu yupo akili yako inapoishia ndipo Mungu anapoanzia.
Mimi nilimaliza chuo 2010,nilihangaika km wewe,nilitembea ofisi nyingi na kuomba kujitolea,nilifunga na kuomba pia lakini kuna kitu huwa tunasahau km Vijana kumtolea Mungu kile kidogo tunachokipata na pia kuwa waaminifu katika njia zake.
Kingine nakumbuka nilitwa interview nyingi tuu hii ya mwisho nilimwambia Mungu km sijapata kazi siombi kazi sehemu yeyote zaidi niliamua kujiajiri,nilishirikiana na rafiki yangu kufungua kampuni ,ikawa inafanya kazi vizuri tuu sikuwa na mpango na nilisahau hata km nilifanya interview sehemu.
Ilikuwa mwezi 11/2015 rafiki yngu ananitumia SMS kwamba nimepata kazi serikalini nimepangiwa sehemu fulani wakati toka nifanye interview ni miezi kama 4 na kuna watu tuliofanya nao walishaitwa kazini .
Nimeandika hivi ili kukupa moyo,amini km umesoma kazi utapata hata km sio serikalini tena pale ambapo ulikuwa huna mpango kabisaaa,ila usibweteke jaribu kufanya biashara hata za matunda usione aibu.
Ahsante kwa kunitia moyo! Lakini mmmmhhh only God knows!
 
Jamani mwenzenu tangu nimegraduate 2011, B.A Community Development, tena nina GPA nzuri tu, na ni mtu wa kujituma, lakini sijawahi pata ajira mahali popote, NGOs ni nyingi lakini sijawahi hata kuitwa kwa interview katika NGOs zote nilizoomba. Japo naendelea kupambana na maisha ktk nyanja za kilimo na ufugaji lakini duuuh nikiwaona wenzangu wapo makazini (tena wengine nilikua nikiwabeba kwenye group assignment) napata shida nafsini mwangu to the extent that natamani kuchana vyeti vyangu vyoote nikae kama vile sikuwahi kwenda shule kabiiisaaaa!
Kuna wakati nilitembea maofisini katika ofisi ambazo nafahamu fika wanafanya shughuli zinazohusiana na maendeleo ya jamii nikiomba kujitolea buuureeee kabisa, nauli yangu,unch yangu, wao wanipe kazi tu niwe nazifanya, tena nitazifanya kwa moyo, lakini sikupata hata pahala pamoja! nina mapenzi makubwa sana na profession yangu lakini sasa navunjika moyo, najiuliza nini kinasababisha nisikubaliwe hata pale ninapokua tayari kufanya kazi bure (Volunteering), nimefunga na kuomba kwa kila hali, sasa nimebaki kuhangaika na nafsi tu, nawaza kuchana vyeti vyangu vyote, na mabaki niyachome moto, iwe habari yangu ya shule imeishia hapo!
Unasikitisha,mbaya zaidi na bodi ya mkopo inakutafuta maana haujaanza kuwarejeshea mkopo wao!!!!
 
Usikate tamaa Dada yangu, Usivunjike Moyo......Kila kitu kina Mwisho na Mwanzo wake.......... . ..Lazima ubakie na Matumaini,IPO Siku yako.
Ahsante kwa kunitia moyo, but sijui kama nitadumu na hivi vyeti nawaza kuvichana tu!
 
Back
Top Bottom