Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,850
- 2,732
Nimekuwa nafanya mapenz na wanawake wenzanga huu ni mwaka wa nne mwanzon niliona ni sawa ila sasa naichukia najitahid kuacha lakn nimeshindwa imefikia hatua nataman hata kufanya na dada yangu wa kuzaliwa naye. Kila nikiona wanawake wenzngu nataman kufanya nao. Sitaman mwanaume kabisa naona hawana maana kwangu kbisa tena huwa naona wananisumbua naumia nataka kuacha hii tabia nifanyeje nisaidien nataman kuwa kama wadada wenzangu.
Prisila kwanza, kabisa hongera kwa kufikia mahali ukaamua kumkataa shetani na mambo yake. Nafikir sana kuwa wewe waweza kuwa ni muhanga wa shule za bweni za wasichana ambao walikuwa wapatapo mihemko basi wanasaidiana mabwenini na wakafikia wakati wakawa wanaitana mume na mke mambo haya yalishamiri sana kuanzia enzi zile za miaka ya 95-.
Jambo la kufanya hapa ni moja tu, amua kwa dhati toka moyoni mwako kuwa dhambi hii siitki tena ukisha amua hivyo futa mawasiliano yote na wanawake wote uliokuwa nao kama sex patnaz wako. Na iambie akili yako maneno haya
' wewe akili ongoza mwili wangu, na kwamwe mwili usikuongoze wewe akili"
pia sema hivi " wewe nafsi yangu, tii akili yangu, wala usitii mwili wangu"
maneno haya nakwambia uyasema kwani kuna mahusiano makubwa sana kati ya mwili wako na kuongoza akili yako na nafsi yako kutii. wataalam wa psycholojia watanisaidia kufafanua hapa manake kuna maneno nataka niyatumie but naona yatakua magumu kueleweka ila fanya tu hivyo.
wakati unatamka maneno haya yaingize kwenye hisia za moyo wako ili dhamira hii itoke ndani yako kabisa, kuna tabia nyingine bwana hata kama utasali vipi kama dhamira ya ndan haijakuwepo haziwez toka kamwe hta usaliwe vipi. Fanya hivi mpaka nafsi ichukie tendo la kuwa msagaji na isiwe kwako ni kitu hukitaki tu. Manake kwa jinsi ulivyosema ni kama vile hutaki tu lakin siyo kwamba unaichukia na ukisoma kwa makini utagundua kuwa hutaki kwakua unamtamani dada yako na si vinginevyo.
Ukishaona nafsi nafsi ieanza kuichukia hali ya usagaji jua umeshinda vita hatua ya kwanza, so nenda ya pili ambapo sasa utaomba toba kwa muumba wako kisha uwe mfuasi wake kweli. hapo utakuwa umemaliza hili tatizo kabisa. Jitambue wewe ni nani, nini thamani yako hapa duniani na kwanini sasa umepewa nafasi ya kuijua thamani yako.
epuka mambo yafuatayo wakati unapoachana na hili
usikae na mashostito hasa kwenye vilevi. ni bora ukatafuta male company ambayo itakufanya uwe na confidence as a girl
usitamanai kuwaambia mashostito kuwa you want to quit the bhaviour kwani wao watakushaur tofauti so just tell them am busy see you baadae. kama ulikuwa unafanyia home kwako waambie uko safari so wasije hadi utakaporudi. wale wote uliokuwa una fanya nao wasikusome but uwe bizy na kuichukia.
pia waweza jenga desturi ya kusoma magazeti ysiyokuwa na ngono wala kuangalia mapicha ya ngono, soma novels na hata vitabu vya mungu. Jioni penda kutoka ukutane na watu ofauti maeneo ya wazi ongea na chat na new friends. endelea kufanya kazi za kike hasa za ndani like washing, cleaning yaani uwe mwanamke kimatendo ili huyu ibilisi ajue haupo kwake tena.
kama ulikuwa unatabia ya kujifanya jike dume, achana nayo kabisa be a lady, hata kimavazi tu, jinsi unavyoendesha gari, au unavyotemmbea na hata sauti. yapo mengi sana na natamani ningejua jinsi ya kuattach doc fulan hapa ningekutumia usome ilitumika kubadili wadada wengi wa aina hii.
.
Azimio Jipya, thanks for nice compliments, however ningependa kuwausia wale wanaotuma thread za kuomba ushaur kuwa siyo wana jf wote ni watu wanaoweza kushauri. Kama umeangalia kwa makini utagundua wapo ambao waao ni watu wa dhihaka tu na kashfa pasi kufikiri upande wa pili wa tatizo..
gfsonwin na Mapi I am great full for being so soulfully to Prisila
Ni hakika watoto wengi wanapo kataliwa na wazizi au marafiki kama inavyotokea prisila kufanyiwa mzaha hapa ni moja ya sababu inayochangia kwa watoto kujikuta kwenye same sex fiction!
Kuwakubali na kuwapa moyo wa kubadilika kama alivyofanya gfson ni moja ya mbinu ya kuwapa mapenzi ya kweli yanayomyoosha na kumfanya muathirika mtu kamili tena ... So watch out guys!!!
Prisila kwanza, kabisa hongera kwa kufikia mahali ukaamua kumkataa shetani na mambo yake. Nafikir sana kuwa wewe waweza kuwa ni muhanga wa shule za bweni za wasichana ambao walikuwa wapatapo mihemko basi wanasaidiana mabwenini na wakafikia wakati wakawa wanaitana mume na mke mambo haya yalishamiri sana kuanzia enzi zile za miaka ya 95-.
Jambo la kufanya hapa ni moja tu, amua kwa dhati toka moyoni mwako kuwa dhambi hii siitki tena ukisha amua hivyo futa mawasiliano yote na wanawake wote uliokuwa nao kama sex patnaz wako. Na iambie akili yako maneno haya
' wewe akili ongoza mwili wangu, na kwamwe mwili usikuongoze wewe akili"
pia sema hivi " wewe nafsi yangu, tii akili yangu, wala usitii mwili wangu"
maneno haya nakwambia uyasema kwani kuna mahusiano makubwa sana kati ya mwili wako na kuongoza akili yako na nafsi yako kutii. wataalam wa psycholojia watanisaidia kufafanua hapa manake kuna maneno nataka niyatumie but naona yatakua magumu kueleweka ila fanya tu hivyo.
wakati unatamka maneno haya yaingize kwenye hisia za moyo wako ili dhamira hii itoke ndani yako kabisa, kuna tabia nyingine bwana hata kama utasali vipi kama dhamira ya ndan haijakuwepo haziwez toka kamwe hta usaliwe vipi. Fanya hivi mpaka nafsi ichukie tendo la kuwa msagaji na isiwe kwako ni kitu hukitaki tu. Manake kwa jinsi ulivyosema ni kama vile hutaki tu lakin siyo kwamba unaichukia na ukisoma kwa makini utagundua kuwa hutaki kwakua unamtamani dada yako na si vinginevyo.
Ukishaona nafsi nafsi ieanza kuichukia hali ya usagaji jua umeshinda vita hatua ya kwanza, so nenda ya pili ambapo sasa utaomba toba kwa muumba wako kisha uwe mfuasi wake kweli. hapo utakuwa umemaliza hili tatizo kabisa. Jitambue wewe ni nani, nini thamani yako hapa duniani na kwanini sasa umepewa nafasi ya kuijua thamani yako.
epuka mambo yafuatayo wakati unapoachana na hili
usikae na mashostito hasa kwenye vilevi. ni bora ukatafuta male company ambayo itakufanya uwe na confidence as a girl
usitamanai kuwaambia mashostito kuwa you want to quit the bhaviour kwani wao watakushaur tofauti so just tell them am busy see you baadae. kama ulikuwa unafanyia home kwako waambie uko safari so wasije hadi utakaporudi. wale wote uliokuwa una fanya nao wasikusome but uwe bizy na kuichukia.
pia waweza jenga desturi ya kusoma magazeti ysiyokuwa na ngono wala kuangalia mapicha ya ngono, soma novels na hata vitabu vya mungu. Jioni penda kutoka ukutane na watu ofauti maeneo ya wazi ongea na chat na new friends. endelea kufanya kazi za kike hasa za ndani like washing, cleaning yaani uwe mwanamke kimatendo ili huyu ibilisi ajue haupo kwake tena.
kama ulikuwa unatabia ya kujifanya jike dume, achana nayo kabisa be a lady, hata kimavazi tu, jinsi unavyoendesha gari, au unavyotemmbea na hata sauti. yapo mengi sana na natamani ningejua jinsi ya kuattach doc fulan hapa ningekutumia usome ilitumika kubadili wadada wengi wa aina hii.
gfsonwin nimeupenda sana mchango wako katika kumsaidia huyu mwenzetu. Yeye kishagundua kama ana tatizo kubwa sana mpaka akaamua kulileta hapa ili watu wamsaidie katika ushauri ili aachane na tabia hii ambayo inamnyima raha, sikupenda pale ambapo wengine badala ya kumpa ushauri wa kumsaidia wakaanza kumzodoa. Tatizo alilo nalo ni kubwa sana lakini akifuata ushauri na kufanya maombi kwa juhudi kubwa basi anaweza kabisa kuachana nalo. Kila la heri Prisila
Kwanza kabisa nakupa pole kwa hali hiyo. Nakushauri kama wewe ni muumini wa Bwana wangu Yesu Kristo, piga magoti kwake ili umuombe msamaha na zaidi sana mweleze juu ya hali yako na umuombe akuongoze kushinda hiyo tamaa. Ubarikiwe