Nimekuwa nafanya mapenz na wanawake wenzanga huu ni mwaka wa nne mwanzon niliona ni sawa ila sasa naichukia najitahid kuacha lakn nimeshindwa imefikia hatua nataman hata kufanya na dada yangu wa kuzaliwa naye. Kila nikiona wanawake wenzngu nataman kufanya nao. Sitaman mwanaume kabisa naona hawana maana kwangu kbisa tena huwa naona wananisumbua naumia nataka kuacha hii tabia nifanyeje nisaidien nataman kuwa kama wadada wenzangu.