pumbatupu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 256
- 82
Unaweza ukacheka Lakini hivo ndivyo Mimi ninavyotamani..
Kwanza natamani abadilishe katiba ili awe Rais wa Miasha wa Tanzania; Kwangu mimi hili itaisaidia nchi hii mambo yafuatayo;
1. Makundi ya Mafisadi pamoja na Makuwadi wao yanayojipanga kuwania Urais wa mwaka 2015 yatakufa kifo cha Ghafla hivyo kukiimarisha chama chetu 'kipenzi' cha Magamba hivyo ndoto za CCJ & Co pamoja na EL & Co. zitakuwa zimeyeyuka kama barafu juani.
2. Mdogo wangu Ritz1 wangu hatakuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa sababu atakuwa na uhakika wa kuishi Ikulu kwa muda mrefu sana. Hivyo fedha anazotumbua zitapelekwa kijijini kwetu kwenda kujengea shule.
3. Hii itasaidia Chama cha Magwanda kujiimarisha bungeni kwa sbb hawatakuwa na muda wa kuuwaza Urais na badala yake watagombea ubunge na nina imani watapata viti vingi make huku wameonyesha kupamudu.
4. Hii itatusaidia wadanganyika samahani Watanzania kuokoa fedha nyingi pamoja na muda kwenye kampeni za Urais wa kila mara ambao matokeo yake huwa tayari yameshapikwa na ile tume ya Kiravu na yule Jaji..
5. Kwa sbb Rais wetu alikuwa na 'slogan' Inayoanzia na Kasi kwa kuhofia muda mchache wa kukaa madarakani,Anaweza kuamua Kufanya mambo kwa u'taratibu zaidi kwa vile muda utakuwa tele.
JK!! Hebu Fanya Hivi Kwa Fiada Ya Taifa Hili..
Kwanza natamani abadilishe katiba ili awe Rais wa Miasha wa Tanzania; Kwangu mimi hili itaisaidia nchi hii mambo yafuatayo;
1. Makundi ya Mafisadi pamoja na Makuwadi wao yanayojipanga kuwania Urais wa mwaka 2015 yatakufa kifo cha Ghafla hivyo kukiimarisha chama chetu 'kipenzi' cha Magamba hivyo ndoto za CCJ & Co pamoja na EL & Co. zitakuwa zimeyeyuka kama barafu juani.
2. Mdogo wangu Ritz1 wangu hatakuwa na tamaa ya kujitajirisha kwa sababu atakuwa na uhakika wa kuishi Ikulu kwa muda mrefu sana. Hivyo fedha anazotumbua zitapelekwa kijijini kwetu kwenda kujengea shule.
3. Hii itasaidia Chama cha Magwanda kujiimarisha bungeni kwa sbb hawatakuwa na muda wa kuuwaza Urais na badala yake watagombea ubunge na nina imani watapata viti vingi make huku wameonyesha kupamudu.
4. Hii itatusaidia wadanganyika samahani Watanzania kuokoa fedha nyingi pamoja na muda kwenye kampeni za Urais wa kila mara ambao matokeo yake huwa tayari yameshapikwa na ile tume ya Kiravu na yule Jaji..
5. Kwa sbb Rais wetu alikuwa na 'slogan' Inayoanzia na Kasi kwa kuhofia muda mchache wa kukaa madarakani,Anaweza kuamua Kufanya mambo kwa u'taratibu zaidi kwa vile muda utakuwa tele.
JK!! Hebu Fanya Hivi Kwa Fiada Ya Taifa Hili..