Naangalia live jinsi wamisri walivyo na furaha kwa kuweza kuleta mapinduzi. watasheherekea hadi asubuhi. nilivyochoshwa natamani ingekuwa imetokea TZ. Naamini nitaishi kuona siku ccm inangolewa. Sijui ni uwanja gani unatosha kuwaweka watu wetu wote washeherekee