Natamani....(I wish)

Bra-joe

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,562
986
Natamani UDOM kingekuwa chuo kikuu. Natamani CCM kiwe chama cha upinzani. Natamani mademu wote wawe wanatongoza wanaume. Natamani Jf member wengi wangekuwa wanatoka Tabora na siyo Arusha. Natamani mikoa ya Tabora, Lindi na Mtwara ingekuwa na watu wenye kuelewa mageuzi kama Mbeya, Mwanza na Arusha. Natamani JK asisafiri mpaka mwaka huu uishe. Natamani uchumi wa USA ungekuwa kama wa Tanzania. Natamani usingefungua hii post. Wewe unatamani nini?
 
natamani dunia irudi kwenye maisha ya ujima, kusiwepo na MAMBO YOTE YA KISASA majumba magari, simu na mambo ya ki technology bila kupunga population hii iliyopo, tuishi mapangoni na kula mizizi porini tumetawanyika. hakuna nchi wala uraisi bali uongozi wa kiukoo na si zaidi ya hapo
 
Back
Top Bottom