Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kuna baadhi ya wanajeshi ni wapuuzi. Hawana uzalendo na hawana huruma na umasikini wa Watanzania walio wengi.
Kuna baadhi ya wanajeshi (nina amini ni wengi) ni wazalendo na wanaona uchungu sana kuishi maisha ya peponi na kuendesha Range Rover wakati mamilioni ya Watanzania wanatekete kwa umasikini kwa sababu ya wanasiasa mafisadi na wala rushwa.
Siku ya siku hawa jamaa watazichapa, upande mmoja ukijifanya kibarakwa kwa watawala, na upande mwingine ukifanya kazi yake - kulinda wananchi. Natamani sana hiyo siku ifike. Pengine ipo karibu.
Hatimaye TBC1 ataonekana 'soja' akisoma taarifa ya habari.
Mimi nitakuwa nakula gahawa tu na baby kitaa.
JWTZ si ya Chadema wala CCM.
Mlimg'oa nduli Idd Amini. Ni wakati wa kuung'oa utawala wa rushwa. Tunaomba mtulinde tuwang'oe mafisadi bila kumwaga damu.
Kuna baadhi ya wanajeshi (nina amini ni wengi) ni wazalendo na wanaona uchungu sana kuishi maisha ya peponi na kuendesha Range Rover wakati mamilioni ya Watanzania wanatekete kwa umasikini kwa sababu ya wanasiasa mafisadi na wala rushwa.
Siku ya siku hawa jamaa watazichapa, upande mmoja ukijifanya kibarakwa kwa watawala, na upande mwingine ukifanya kazi yake - kulinda wananchi. Natamani sana hiyo siku ifike. Pengine ipo karibu.
Hatimaye TBC1 ataonekana 'soja' akisoma taarifa ya habari.
Mimi nitakuwa nakula gahawa tu na baby kitaa.
JWTZ si ya Chadema wala CCM.
Mlimg'oa nduli Idd Amini. Ni wakati wa kuung'oa utawala wa rushwa. Tunaomba mtulinde tuwang'oe mafisadi bila kumwaga damu.