Elections 2010 Natamani Friendly Fire JWTZ

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Kuna baadhi ya wanajeshi ni wapuuzi. Hawana uzalendo na hawana huruma na umasikini wa Watanzania walio wengi.

Kuna baadhi ya wanajeshi (nina amini ni wengi) ni wazalendo na wanaona uchungu sana kuishi maisha ya peponi na kuendesha Range Rover wakati mamilioni ya Watanzania wanatekete kwa umasikini kwa sababu ya wanasiasa mafisadi na wala rushwa.

Siku ya siku hawa jamaa watazichapa, upande mmoja ukijifanya kibarakwa kwa watawala, na upande mwingine ukifanya kazi yake - kulinda wananchi. Natamani sana hiyo siku ifike. Pengine ipo karibu.

Hatimaye TBC1 ataonekana 'soja' akisoma taarifa ya habari.

Mimi nitakuwa nakula gahawa tu na baby kitaa.

JWTZ si ya Chadema wala CCM.

Mlimg'oa nduli Idd Amini. Ni wakati wa kuung'oa utawala wa rushwa. Tunaomba mtulinde tuwang'oe mafisadi bila kumwaga damu.
 
Kwa taarifa yako JWTZ limegawanyika maofisa wa ngazi ya juu wapo beneti na CCM kwa sababu wananufaika na ufisadi. Maafisa wa ngazi za chini ambao wanaathirika na ufisadi wa CCM wako beennti na Chadema. Huo ndiyo ukweli uliopo.
 
Nilibahatika kupitia JKT, nakwambia wanaofaidi ni maofisa tu, Kuanzia cheo cha Meja kwenda mbele, hawa wengine ni shida mtindo mmoja. kwa hiyo wanaokula kuku hasa ni wenye vitengo lakini walio man power ni mshahar kwa mshahara.

Kwa hiyo usifikiri Jeshi nzima lipo na starehe, wengi wao ni matatizo na wanapenda sana mageuzi yatokee lakini ukiwa jeshini mzee umeapa na kuapa huwezi kusaliti kiapo chako hadi kifo. na chochote anachokwambia aliyekuzidi cheo ndicho hicho unafuata hakuna kuuliza why? how?

Jibu ni "NDIYO AFANDE". Kwa hiyo usitegemee kauli yoyote toka kwa Jeshi kuhusu issue iliyotokea juzi - NEVER - Anayeweza toka kauli ni anayemzidi cheo - na yupo mmoja tu kama sikosei then Rais mwenyewe.

Na hawa wakubwa wapo damu damu na watawala kumbuka JESHI pia lina riporti moja kwa moja IKULU.

Sasa nafikiri unaona njisi vikwazo vilivyo vingi hapo, yaani safari ni ndefu ila hakuna kukata tamaa kama umma umeamua chochote kitafanyika - hatutaki mambo ya Zimbabwe ama Kenya, atakayeshindwa na aachie madaraka kwa amani na mshikamano.
 
Kuna baadhi ya wanajeshi ni wapuuzi. Hawana uzalendo na hawana huruma na umasikini wa Watanzania walio wengi.

Kuna baadhi ya wanajeshi (nina amini ni wengi) ni wazalendo na wanaona uchungu sana kuishi maisha ya peponi na kuendesha Range Rover wakati mamilioni ya Watanzania wanatekete kwa umasikini kwa sababu ya wanasiasa mafisadi na wala rushwa.

Siku ya siku hawa jamaa watazichapa, upande mmoja ukijifanya kibarakwa kwa watawala, na upande mwingine ukifanya kazi yake - kulinda wananchi. Natamani sana hiyo siku ifike. Pengine ipo karibu.

Hatimaye TBC1 ataonekana 'soja' akisoma taarifa ya habari.

Mimi nitakuwa nakula gahawa tu na baby kitaa.

JWTZ si ya Chadema wala CCM.

Mlimg'oa nduli Idd Amini. Ni wakati wa kuung'oa utawala wa rushwa. Tunaomba mtulinde tuwang'oe mafisadi bila kumwaga damu.

Hili ni tatizo la jeshi kukosa shughuli za kufanya mpaka wanatamani kuingilia kazi za polisi. Mimi naona Gen. Shimbo angejenga hoja wanajeshi wakapambane na Al-Shabaab Somalia ili wawe bize kidogo.
 
Back
Top Bottom