Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Magwanda mnawaza vurugu tu.
magamba mnawaza ufisadi na mauaji tu
Magwanda mnawaza vurugu tu.
kama itatokea Lema akashindwa uchaguzi na akazuiwa kugombea, natamani CDM imweke mgombea anayekubali na mwenye ari ya kweli ya maendeleo lazima atashinda
Kwa hiyo unataka kusema Lema akubaliki Arusha?
Wasiwasi wangu ni kwenye kampeni je CCM watachinja chinja kama walivyo fanya kule Igunga...lakini kwenye masanduku Chadema itashinda zaidi ya ya mwaka jana...
siyo sehemu ya vichekesho lakini imenibidi nicheke kwa jinsi ilvyomjibu huyu gambaMagamba mnawaza wizi tu.
Noooooooooooooooooooooo
Chaguzi zinatumia pesa nyingi mno ona hadi watu hawajapata mishahara yao kisa uchaguzi Igunga Naomba Uchaguzi mwingine ufanyike 2915 na siyo katikati
Wakimtoa Lema, Dr Slaa agombee!kama itatokea Lema akashindwa uchaguzi na akazuiwa kugombea, natamani CDM imweke mgombea anayekubali na mwenye ari ya kweli ya maendeleo lazima atashinda
yes thankx for correctionI hope ulimaanisha 2015
jukumu lililobaki crashwise ni letu sote kutoa elimu ya jinsi ya kudeal na Green Guards hawa ndio adui wa usalama wa jiji letu..niwajuavyo vijana wa arusha huwezi mteka mwenzao hadharani kama ilivyokuwa ikifanyika Igunga na wao wakabaki wakikutizama,.nakumbuka mwaka jana Greenguards walichofanywa maeneo ya fire walipokuwa wakisuka mbinu chafu. now elimu inayohitajika ni namna ya kudeal nao kwani sasa watakuja na mbinu ya kuvizia kwa kuwajua watu wa arusha hawachukuliki kirahisiWasiwasi wangu ni kwenye kampeni je CCM watachinja chinja kama walivyo fanya kule Igunga...lakini kwenye masanduku Chadema itashinda zaidi ya ya mwaka jana...
jukumu lililobaki crashwise ni letu sote kutoa elimu ya jinsi ya kudeal na Green Guards hawa ndio adui wa usalama wa jiji letu..niwajuavyo vijana wa arusha huwezi mteka mwenzao hadharani kama ilivyokuwa ikifanyika Igunga na wao wakabaki wakikutizama,.nakumbuka mwaka jana Greenguards walichofanywa maeneo ya fire walipokuwa wakisuka mbinu chafu. now elimu inayohitajika ni namna ya kudeal nao kwani sasa watakuja na mbinu ya kuvizia kwa kuwajua watu wa arusha hawachukuliki kirahisi
Bramo unadhani CCM ikishinda kesi dhidi ya Lema ndiyo utaacha kuwa gamba na mpumbavu? Mie natamani Mungu akufungue macho uondokane na upumbavu unaokufanya utumie masaburi kufikiri badala ya kichwa. Hakika mama na baba yako walikula hasara kuzaa **** kama wewe. May you perish. Kwa vile wewe ni gamba hata ukiungua si tatizo. Nenda mwana kwenda.