Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,137
- 56,591
Mazingira yanasababisha sana tu tena sana kwa watoto kufaulu au kutofaulu katika masomo yao,angalia shule za serikali ni masikitiko unakuta mtoto ni mzuri tu kichwani ila mazingira mabaya yanamuaffect,sasa watoto ambao wanaitegemea serikali watafeli kila siku.[/B]
Mtoto ana A mpaka Bible Knowledge duh! Mambo ya bible tangu utotoni hayo.
Matokeo ya Immaculate. St. Marian Girls.
S0248/0032FIMACULATE R MOSHA
7ICIV-A HIST-A GEO-B B/KNOWL-A KISW-B ENGL-A PHY-A CHEM-A BIO-A B/MATH-A
Haya tena, damu ya kichaga-mambo ya bidii kwa sana, Baba profesa mambo ya Sayansi(kuna somo la sayansi hana A?), mama CPA-Mhasibu huyo(Maths A) hapa ukitazama hapo juu kwenye matokeo inabidi yakubali yenyewe.
Chekechea St Ann, Sekondari St Marian. Jamani 1 jumlisha na 1 ngapi?
Mtoto anaongea nyumbani Kichaga na Kingeresa(English) na ndio hivyo tena akapata B ya kiswahili na A ya Kiingereza.
Milima ya morogoro imemchanganya ndio maana direction zinasumbua akapata B ya Geography.
Kumbe basi Mafanikio yanatokana na Mazingira na unavyoyatumia.
Mazingira(Including watu)+utumiaji mzuri wa Mazingira =Mafanikio