Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Ngugu mwanajf, baada ya kjadili mada iliyokuwa inazungumzia kile usichotaka(SITAKI), hebu sasa tujadili kile ambacho unataka kama ambavyo mimi:
1.Nataka Serikali inayojali watu na rasilimali zake kwa manufaa ya watu wake!
2.Nataka wabunge wanaosimamia haki na rasilimali za taifa bila kujali itikadi za vyama.
3.Nataka tume huru ya uchaguzi isiyopendelea chama kilicho madarakani.
4.Nataka Rais asiyekuwa ombaomba hata kwa vitu ambavyo vingeweza kuwa kwenye level ya uwaziri.
5.Nataka Rais anayetulia ofisini na si kuwa kama Vasco dagama!
6.
7.
8.... endeleza
1.Nataka Serikali inayojali watu na rasilimali zake kwa manufaa ya watu wake!
2.Nataka wabunge wanaosimamia haki na rasilimali za taifa bila kujali itikadi za vyama.
3.Nataka tume huru ya uchaguzi isiyopendelea chama kilicho madarakani.
4.Nataka Rais asiyekuwa ombaomba hata kwa vitu ambavyo vingeweza kuwa kwenye level ya uwaziri.
5.Nataka Rais anayetulia ofisini na si kuwa kama Vasco dagama!
6.
7.
8.... endeleza