Nataka watoto wangu atumie jina la mama yao

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,850
155,799
Wasalaam,
kwa heshima na taadhima nakuja mbele zenu kuyawakilisha yale machache yalioujaa moyo wangu.
Kutoka katikati ama kwenye shina la moyo wangu,
natabngaza rasmi watoto wangu wote hawata tumia jina la ukoo wangu, ila watatumia jina la ukoo wa mama yao ambaye ni mke wangu.
Nimeamua kufanya hivyo kwa kuwa mama yao ndio anauhakika wa dhati wa baba wa mtoto.
Sina haja ya kufanya d.n.a test, na ninamuamini sana mama watoto wangu.
Ila si unajua tena kama unadhani nyie wanaume mna mambinu basi wanawake wana mitego
 
Mzee yani kabla hata hujapata mtoto ushaanza kuogopa?? Halafu unajicontradict mwenyewe maana unasema "unamwamini Mkeo" hapo hapo unasema yeye ndo anajua watoto ni wa nani!!
 
Wasalaam,
kwa heshima na taadhima nakuja mbele zenu kuyawakilisha yale machache yalioujaa moyo wangu.
Kutoka katikati ama kwenye shina la moyo wangu,
natabngaza rasmi watoto wangu wote hawata tumia jina la ukoo wangu, ila watatumia jina la ukoo wa mama yao ambaye ni mke wangu.
Nimeamua kufanya hivyo kwa kuwa mama yao ndio anauhakika wa dhati wa baba wa mtoto.
Sina haja ya kufanya d.n.a test, na ninamuamini sana mama watoto wangu.
Ila si unajua tena kama unadhani nyie wanaume mna mambinu basi wanawake wana mitego
Bujibuji,

Hii mambo ipo kama kawaida kabisa.

Koo nyingi za Morogoro zinatumia ukoo wa mama kwa imani hiyohiyo kwamba mama ndo mwenye kujua uhalisia wa baba mzazi wa mtoto.

Ni uamuzi mzuri...Ila kama ndivyo, acha kuamwamini huyu bibie mara moja!
 
Siyo mbaya sana lakini kwa desturi watoto walitakiwa wawe na jina la ukoo wako!!
Kinachokupelekea kuwapa jina la ukoo wa mama yao ni wewe mwenyewe unakifahamu kwa hiyo mi naona sawaaaaaaa!!!!!tuuuu.
 
Wasalaam,
kwa heshima na taadhima nakuja mbele zenu kuyawakilisha yale machache yalioujaa moyo wangu.
Kutoka katikati ama kwenye shina la moyo wangu,
natabngaza rasmi watoto wangu wote hawata tumia jina la ukoo wangu, ila watatumia jina la ukoo wa mama yao ambaye ni mke wangu.
Nimeamua kufanya hivyo kwa kuwa mama yao ndio anauhakika wa dhati wa baba wa mtoto.
Sina haja ya kufanya d.n.a test, na ninamuamini sana mama watoto wangu.
Ila si unajua tena kama unadhani nyie wanaume mna mambinu basi wanawake wana mitego

Mkuu unaniongezea mapinduzi sasa, Kidume Nguli nina mpango wa kuvisha engagement ring na tukipata watoto wote ma ir men ya kwetu!!!
 
natabngaza rasmi watoto wangu wote hawata tumia jina la ukoo wangu, ila watatumia jina la ukoo wa mama yao ambaye ni mke wangu.
Nimeamua kufanya hivyo kwa kuwa mama yao ndio anauhakika wa dhati wa baba wa mtoto.
Sina haja ya kufanya d.n.a test, na ninamuamini sana mama watoto wangu.


Poa niswala la kujiridhisha na kubwa inategemea mila zenu! mambo ya D N A yametokea wapi ndani ya ndoa yenye uaminifu?? au umeolewa wewe? au ku.........uwezi? kwahiyo watoto wana baba yao? anyway sioni tatizo na hukua na haja ya kututangazia!
 
Wasalaam,
kwa heshima na taadhima nakuja mbele zenu kuyawakilisha yale machache yalioujaa moyo wangu.
Kutoka katikati ama kwenye shina la moyo wangu,
natabngaza rasmi watoto wangu wote hawata tumia jina la ukoo wangu, ila watatumia jina la ukoo wa mama yao ambaye ni mke wangu.
Nimeamua kufanya hivyo kwa kuwa mama yao ndio anauhakika wa dhati wa baba wa mtoto.
Sina haja ya kufanya d.n.a test, na ninamuamini sana mama watoto wangu.
Ila si unajua tena kama unadhani nyie wanaume mna mambinu basi wanawake wana mitego
Sasa hutaki DNA test pili unamuamini tunakusaidiaje? DNA is the only solution to know the child is yours period
 
hiyo imetulia hata mimi nakupongeza ingwa wangu watatumia ukoo wangu nitakao uanzisha
 
Wewe Bujibuji ni hatari sana, watoto hutumia majina ya baba zao ili kuonyesha wao ndiyo walitoa hiyo sperm, kwa mama hiyo inaeleweka kwani alibemba mimba hiyo. Huo ndiyo utamaduni ili mwanaume apate heshima.

Kama huna hakika wewe ndiye baba wa mtoto basi atumie jina la mama
 
Back
Top Bottom