Ikeli Nagiva
Member
- Jan 7, 2012
- 57
- 11
Haitakusaidia, kama huna ushahidi wa uhakika na bado wampenda basi endelea na maisha yako ya kawaida.
Hamjifichi kutwa watafuta bwana!Ili uzijue lazima utakuwa shoga!
naomba mtu yoyote anayemjua mpelelezi yoyote yule atakae weza kunisaidia nataka amfuatilie mume wangu nataka nimshike live na mwanamke kwa sababu kila nikimshika kwenye simu anabadilika naombeni tafadhali nimechoka mwenzenu na uwongo wa huyu bwana kila siku
Umejiuliza nini hasa wataka? Kama unahakika kua mumeo ana kucheat kuna tofauti gani na ukimfuma.... au labda naomba kujua what difference will it make? Na je upo tayari kuyapokea matokeo hasa ukipata ushahidi wa uhakika?
Alafu jamani kwanini ujiite Unlucky? Ikiwwezekana badili jina, hilo ni kama wewe mwenyewe wajitia mikosi.... Pole na pressure za ndoa dear...
Mission impossible, abort pls, u will never ever fumania him, NEVER!!!
naomba mtu yoyote anayemjua mpelelezi yoyote yule atakae weza kunisaidia nataka amfuatilie mume wangu nataka nimshike live na mwanamke kwa sababu kila nikimshika kwenye simu anabadilika naombeni tafadhali nimechoka mwenzenu na uwongo wa huyu bwana kila siku
mpendwa dadangu,
kwanza,
hakuna mwanaume mnyama hapa duniani, tena mbele ya mwanamke, hakuna!
pili,
tangu mwanzo Mungu allimuumba mtu mume na mtu mke na akaona kuwa ni vyema. kwa hiyo mtu atawaacha wazazi wake na ataishi na mke/mume wake nao watakuwa mwili mmoja hadi kifo kitakapowatenganisha. Mungu anachukia kuachana!
tatu,
jukwaa uliloweka mada yako si muafaka, ungepeleka jukwaa la sheria
nne,
hakuna mwanaume au mwanamke anayeweza kutoa talaka hapa nchini. talaka inatolewa mahakamani pekee.
tano
kama unaihitaji unapaswa kwenda huko ila kiutaratibu unaanzia idara ya ustawi wa jamii katika halmashauri yako nao watakuelekeza kwenda baraza la usuluhishi wa ndoa na familia ambako mtaitwa wote wawili (wewe na mumeo) kusuluhishwa na huko waambie bila kutafuna maneno kuwa unataka talaka na uwaeleze sababu za kufikia uamuzi huo, nao watakupa barua ya kwenda kufungulia shauri lenu mahakamani. huko mahakamani hakimu akiridhika kuwa ndoa yenu imevunjika kabisa kiasi cha kutoweza kurekebishika, basi atatoa hati ya talaka unayoitaka. atatoa nakala mbili, moja yako na nyingine ya mumeo. pia katika hati hiyo, kutakuwa na maamuzi juu ya mgawanyo wa mali mlizochuma pamoja, malezi ya watoto na matunzo yao baada ya talaka na uamuzi kuhusu mahari!
ubarikiwe sana mpendwa,
Glory to God!