unlucky
Senior Member
- Aug 9, 2011
- 199
- 56
naomba mtu yoyote anayemjua mpelelezi yoyote yule atakae weza kunisaidia nataka amfuatilie mume wangu nataka nimshike live na mwanamke kwa sababu kila nikimshika kwenye simu anabadilika naombeni tafadhali nimechoka mwenzenu na uwongo wa huyu bwana kila siku