wapendwa wanajamvi, nataka nipate kausafiri kidogo nimechoka vurugu za daladala. Kuna mtu kaniambia ataniuzia toyota PLATZ kwa sh 8mn/= Je platz ni gar nzur wapendwa na je bei ni rsonable?
Pia kuna mkuu mwingne anauza suzuki swift kwa 9.5 million, je hyo bei pia ni resonable?
nisaidieni wakuu kwa ushauri mana me mambo ya magari sina utaalam kbsa. mbarikiwe wote
Pia kuna mkuu mwingne anauza suzuki swift kwa 9.5 million, je hyo bei pia ni resonable?
nisaidieni wakuu kwa ushauri mana me mambo ya magari sina utaalam kbsa. mbarikiwe wote