Nataka niwe tajiri

A word to the wise is enough. Let's call it quits, man. Tunachafua mada ya watu.

Ok, mwambie basi mwenzio...hata kwenye PM. Unamzungusha zungusha mno. Mwambie tu kilichopo moyoni/kichwani mwako. Sawa?
 
Ndiyo maana nikauliza is there anything that i don't know that i need to know?..in case of any cahoots going on!......its a straight answer than hitting around the bush...me i am not good with terms..
 
Of course you need to work hard and also surrender yourlife and keep faith in god...sikumaanisha just surrender your life bila kufanya kazi may be sikufafanua vizuri sorry!...

...naam naaam! YO YO, bila faith ndugu yangu waweza kuja patwa kama yalowapata hawa mamillionea ambao wanakataa kuukubali ukweli, mpaji ni Mungu, na hii Credit Crunch mbona watajiua wengi!!! sijui yule wa Chelsea kama hatajiua, keshapoteza $ 9bn mpaka sasa...

Wed 8th October 2008

A businessman gunned down five members of his family then shot himself after seeing his family's fortune wiped out by the stock market collapse.

Karthik Rajaram, 45, who had made almost £900,000 on the London stock market, shot his wife, three children and mother-in-law in the head before turning the gun on himself at the family home near Los Angeles.

Saturday 27th September 2008

The City was in shock last night after the apparent suicide of a millionaire financier haunted by the pressures of dealing with the credit crunch.

Kirk Stephenson, who was married with an eight-year-old son, died in the path of a 100mph express train at Taplow railway station, Berkshire.

Tuesday 6 January 2009

Adolf Merckle, who was Germany's fifth richest man and the world's 98th richest, reportedly died on railway tracks close to his family villa in Blaubeuern, near Ulm in south-west Germany, after being struck by a train on Monday night.

In an emotional statement his family said the 74-year-old had been "broken" by the financial crisis.

Saturday 31/jan/2009

wealthy businessman shot his girlfriend then killed himself after being badly hit by the credit crunch.

Lord Howard Worthington, 52, seriously wounded Julie Rees, 47, in their luxury home before turning the gun on himself.
 
Ni vyema pia ukapata mawazo ya matajiri kama Donald Trump na mwenzake Robert Kiyosaki katika kitabu chao "Why we want you to be Rich". Wamefafanua kwa udhoefu mbinu, kila la kheri mkuu!!
Vizuri umesema unataka mbinu ambazo ni legal,otherwise watu wangekuambia ukachemshwe kwenye pipa, and such kind of stuffs....hard to swallow!!



Nami napendekeza usome hicho kitabu kwa kuanzia.
 
Uwe tajiri halafu iweje,uwatambie wenzio si ndio,hutakuwa, labda uwe mjukuu wa Big Brother.

Utani sio mbaya, lakini ukweli unabaki kwamba you really do not need to be rich,you only need to have enough to it.Treat utajiri kama a game of chance,umepata sawa,umekosa sawa pia,kwa maana kwamba utumie njia halali za kuwa tajiri.Hard work and entrepreneurship!Ukitataka utajiri mchafu kuna njia nyingi chafu ambazo unaweza kuzitumia,hizi ndizo zinazotumiwa na watu wengi siku hizi,lakini matokeo yake katika maisha ni mabaya sana!

QUOTE=Yo Yo;386784]WanaJF naomba mwenye mbinu yakinifu za kuniwezeksha niwe tajiri.Mbinu zozote zile za kibiashara,kinguvu au zozote zile almradi ziwe legal......In short nakataka niwe tajiri.......nahitaji msaada wenu[/QUOTE]
 
Hishima kwako Yo Yo
kwangu mimi nakupa big up kwa hatua hiyo tu ya (KUTAKA) hiyo huwa ni ya kwanza you are on the right track go ahead huku ukichambua, yapo ulo postiwa ya maana chukua yanayo wezekana kwako ya apply. Utakosea hapa na pale never give up you better die trying.
 
Hayo si maneno ya kumjibu mwenzako. Thanx kuwa jamaa yuko banned. Tuwe wastaarabu, tuko hapa kuelimishana na kubadilisha info.

hahaha kumbe ulifurahia cupcake alivyokuwa banned uh!...i bet watu waliandaa tafrija uwiiiii!...kazi kweli kweli
 
Yeap hiyo hiyo kumbe unakumbuka eeh ulinikunja sana duuh!....hadi mwenzio sasa hivi naugulia na shingo siwezi hata kugeuka,,,,

Guyz ur so funny nacheka mwenyewe hapa ofisini!! Long live NN na Kel
 
Back
Top Bottom