Huwezi kuuza kitu ambacho kimesha uzwa. Ungetaka ushauri wa kumuua RA ningekupa na ungefanikiwa ndani ya masaa 24.Labda kama kuna mtu amefika bei, basi weka cha juu then muone RA kwani yeye ndiye mmiliki wa sasa wa nji hii.
Samahani Watanzania wenzangu natamani kuuza nchi hii na nyinyi nyote mliomo ndani, ikiwezekana labda muhamie nchi nyingine. Mnaweza kunisaidia kujua Procudure za kuuza?
ANYONE who tired.
Bookschool,
Vaa nguo za kijani na manjano halafu pitia ofisi zilizopo Lumumba, ukifika eleza shida yako, kama uko tayari kutoa 10% to 30% ya bei utakayouzia utapewa kibali.
Utaratibu sio mgumu, mkuu.... Nguo za kijani na mamnjano na brief case! Ufanye haraka, kuna madalali wengi.
Samahani Watanzania wenzangu natamani kuuza nchi hii na nyinyi nyote mliomo ndani, ikiwezekana labda muhamie nchi nyingine. Mnaweza kunisaidia kujua Procudure za kuuza?
ANYONE who tired.
You must be nut!!! Can't you find a better way to waste your time????......
Wewe tapeli, unataka kuuza nchi ambayo ilishauzwa?