tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
Jaman wana jf embu nishaurini nimefaulu kwa kiwango cha juu HGK ila watu wananiogopesha kuhusu law eti mkopo hupewi,ajira utasota na pia mambo magumu sana! Na mm naipenda sana hii fakat ushaur plz... Kwa wenye uwelewa na hii kitu'