Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
- Thread starter
- #21
mpeleke tena haraka sana hilo linawezekana na utapata support ya kisheria haiwezekani yy kazi yake iwe kuzalisha tu then hataki matunzo,kuna sheria inambana mzazi ila wengi wetu hatuifaham hasa kwa suala la kusomesha hapo kitakachofanyika ni oda ya mahakama kwenda kazini kwake na kiasi flani cha mshahara kitakua kinakatwa ili kisaidia familia na yy atabaki na vijisent vyake kidogo vya pombe.
sawa mkuu.maana hata mama yangu kafukuzwa na baba toka mwezi wa 1.mama hajapata chochote yupo anahangaika kivyake vyake.....tupo watoto wa nne katika tumbo letu.na aliyefika sekondari ni mimi tena kwa ufadhili wa ndugu na sio yeye.