Nataka NIMSHITAKI BABA YANGU MZAZI....JE INAWEZEKANA?

mpeleke tena haraka sana hilo linawezekana na utapata support ya kisheria haiwezekani yy kazi yake iwe kuzalisha tu then hataki matunzo,kuna sheria inambana mzazi ila wengi wetu hatuifaham hasa kwa suala la kusomesha hapo kitakachofanyika ni oda ya mahakama kwenda kazini kwake na kiasi flani cha mshahara kitakua kinakatwa ili kisaidia familia na yy atabaki na vijisent vyake kidogo vya pombe.

sawa mkuu.maana hata mama yangu kafukuzwa na baba toka mwezi wa 1.mama hajapata chochote yupo anahangaika kivyake vyake.....tupo watoto wa nne katika tumbo letu.na aliyefika sekondari ni mimi tena kwa ufadhili wa ndugu na sio yeye.
 
Tumia busara zaidi, the court is not your mother! Unampeleka baba yako mahakamani then atamlipia dogo shule ila mnaishi bila amani na upendo, tafuta wazee wenzake waongee, msipende kukimbilia mahakamani kwa kila kitu, mengine yanaweza kumalizwa kikawaida kabisa.
 
Tumia busara zaidi, the court is not your mother! Unampeleka baba yako mahakamani then atamlipia dogo shule ila mnaishi bila amani na upendo, tafuta wazee wenzake waongee, msipende kukimbilia mahakamani kwa kila kitu, mengine yanaweza kumalizwa kikawaida kabisa.

jamaa mkorofi sana.hataki la mtu
 
Mpeleke unapoteza muda kusomesha watoto na kutunza familia hayo ni majukumu iweje ayakwepe
 
nimepewa barua toka kwa mtendaji wa kata ili kumpeleka mbele ya sheria.amekasirika sana.leo kafukuza familia nzima.mimi kanitukana matusi mazito kuliko maelezo.anadai tunamwonea ......hapa nilipo nalia kwa uchungu kwani mtaa mzima upo hapa home kuangalia huu mkasa....dingi kadai anaweza akaniua.......jamani msaada.
 
Back
Top Bottom