ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Habari za saa hizi ndugu wanaharakati wa jf nafikiri bado mnaendelea kukuna vichwa vyenu ili muweze kutukusanyia na kutuletea habari mbalimbali zinazotokea kila kukicha.
Shida yangu ni kwamba ni muda mrefu sasa najaribu kufuatilia na kutafakari ili niweze kupata jibu lililosimama (kueleweka) ila bado inakuwa ngumu.
Ndio maana nimeamua kuanika ktk ukurasa huu wa watu wa busara ili mnisaidie katka hili, Yaani nani mwenye mapenzi ya kweli (anayependa) zaidi kati ya mwanaume na mwanamke?
Shida yangu ni kwamba ni muda mrefu sasa najaribu kufuatilia na kutafakari ili niweze kupata jibu lililosimama (kueleweka) ila bado inakuwa ngumu.
Ndio maana nimeamua kuanika ktk ukurasa huu wa watu wa busara ili mnisaidie katka hili, Yaani nani mwenye mapenzi ya kweli (anayependa) zaidi kati ya mwanaume na mwanamke?