Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Yale ya khaki. Nipendeze kidogo, au vipi?
Mwenye anajua duka yanauzwa aniambie. anielezee.
Thanks
Mwenye anajua duka yanauzwa aniambie. anielezee.
Thanks
Yale ya khaki. Nipendeze kidogo, au vipi?
Mwenye anajua duka yanauzwa aniambie. anielezee.
Thanks
Nafikiri vitambaa vya rangi hiyo vipo madukani kwa wingi kabisa,ni kununua na kushonesha kwa mafundi cherehani.Mimi nimeshashona yangu,ninapoivaa huwa inanipendeza sana!!
utaahira kaziniongea na makonda wa daladala
PIGA 0784 222222, 0655 694553,0756 809 535.TUTAKULETEA MPAKA NYUMBANI ZiKO NYINGI SANA,BEI NI LAKI MOJA KWA ZILE ZA KAKI ZILE NYEUSI NI LAKI NA NUSU
Jaman gwanda zinapatikana pale makao makuu. Zipo kibao,ukifika sekretari/mapokezi wanakuuzia tu. Ni cheap mpaka 30elfu, shati za kawaida elf8,kofia elf5. Msiende kwa walanguzi,fika pale ufipa,kinondoni uchukue kwa bei poa. Niko tayari hata kuwasaidia. Hapa kama uko Tanzania,basi piga simu makao makuu wape vipimo vyako,wakishakuandalia,niPM mi niende nikuchukulie ili nikupost to your address,hata kama uko nje ya nchi naweza kufanya msaada wa kukutumia! Trust me at no price. Kumbuka hautanilipa chochote,ila gharama ya usafirishaji ni juu yako.
Mimi nataka magwanda ya Chadema ili nimkabili yule mdosi anayetupa tabu humu nchini -- anayetaka kutuibia mabilioni kweupe? Nikipata magwanda hayo mniambie wapi nitapata kiurahisi kwani nitamfanyia kitu mbaya sana na ajue ni chama gani kinachomchikia kuliko vyote.