Nataka kuwa na uso laini

Wewe ni mwanamme usitafute u-soft ohooo! kuhusu chunusi na madoa osha usu na sabuni kutwa mara nne ukitumia kitaulu/dodoki kusugua tatizo litaisha.
 
oyaa mwana eeh usoft wa kazi gani babuu
we komaa bwanaa mwanaume wewe
mjita mara ya mwisho kupaka mafuta sikumbuki
 
Una umri gani? Kama ni rika la balehe basi chunusi ni kawaida, cha kufanya ni kuzingatia usafi wa uso. Ikiwa zinazidi na kuwa kama vijipu kaonane na daktari wa ngozi. Kumbuka pia quality ya ngozi inategemea lifestyle i.e. vyakula vyenye mafuta na sukari, pombe kupita kiasi, uzito uliozidi pia huchangia kuleta chunusi kwa baadhi ya watu.

Ila kwa mtoto wa kiume kusema "nataka kuwa soft kama mtoto" inanitia mashaka...
 
Kuna njia nyingi za kufanya ngozi yako iwe nzuri, moja wapo ni kunywa maji mengi, vyakula vya asili vyenye vitamin E kwa wingi. Tumia vitu asili kama yai bichi ondoa kiini changanya nalimau jipake usoni asubuhi na jioni kama unanawa uso hivi. Unaweza pia kutumia asali kulainisha uso wako. Kama una umri wa zaidi ya miaka zaidi ya miaka 45 unaweza kutumia shahawa kupaka usoni. Kama mnafanya mapenzi basi waweza muomba mwenza wako akojolee mdoni wakati wa oral sexy na wewe meza shahawa hizo. Hii itakusaidia kuweka ngozi yako iwe laini na mng'alo wa kuvutia. Hii ni kwa wadada tu.
Ushauri wako mzuri ila ulipofika hapa umeharibu
 
fuata ushauri mzuri tu uliotolewa na wadau hapa, ila mwanaume hasifiwi sura bali utafutaji wa pesa, so usipende kuwa soft
 
Kuna njia nyingi za kufanya ngozi yako iwe nzuri, moja wapo ni kunywa maji mengi, vyakula vya asili vyenye vitamin E kwa wingi. Tumia vitu asili kama yai bichi ondoa kiini changanya nalimau jipake usoni asubuhi na jioni kama unanawa uso hivi. Unaweza pia kutumia asali kulainisha uso wako. Kama una umri wa zaidi ya miaka zaidi ya miaka 45 unaweza kutumia shahawa kupaka usoni. Kama mnafanya mapenzi basi waweza muomba mwenza wako akojolee mdoni wakati wa oral sexy na wewe meza shahawa hizo. Hii itakusaidia kuweka ngozi yako iwe laini na mng'alo wa kuvutia. Hii ni kwa wadada tu.
Mmh kwa kweli hii siiwezi heri nibaki nilivyo. khaaaaaaa
 
Hi wana JF mimi ni mvulana nina vichunusi lakini sio sana hali iliyopelekea nipate madoa meusi na uso wangu kupoteza hali ya usoft.Nataka niwe soft kama mtoto.Nisaidie jamani nifanye nini ili niondoe chunusi.Na hayo madoa na pia niwe soft.Ninaishi mwanza


mmh unataka uwe na uso laini kama wa mtoto... mi nadhani ungesema unataka uwe na uso angavu.... lainin tena kama wa mtoto... hapo inabidi uanze kuwaazima dada zetu vipodozi vyao and belive me if u dare... they will judge u otherwise... unless u r up 4 it...
 
Kuna njia nyingi za kufanya ngozi yako iwe nzuri, moja wapo ni kunywa maji mengi, vyakula vya asili vyenye vitamin E kwa wingi. Tumia vitu asili kama yai bichi ondoa kiini changanya nalimau jipake usoni asubuhi na jioni kama unanawa uso hivi. Unaweza pia kutumia asali kulainisha uso wako. Kama una umri wa zaidi ya miaka zaidi ya miaka 45 unaweza kutumia shahawa kupaka usoni. Kama mnafanya mapenzi basi waweza muomba mwenza wako akojolee mdoni wakati wa oral sexy na wewe meza shahawa hizo. Hii itakusaidia kuweka ngozi yako iwe laini na mng'alo wa kuvutia. Hii ni kwa wadada tu.


ooops kunywa hayo makitu naweza kutapika hadi nyongo
 
yote wanayokwambia hayatofanya kazi, nilipita stage yako, watu wanahisi vitu wanakwambia, usifanye hata kimoja... solution nenda kwa daktari wa ngozi, wale watakagua ngozi yako na kuangalia wataifix vipi.. ukitumiatumia njia hizi unazopigiwa kelele humu utakiona cha moto..
 
Kuna njia nyingi za kufanya ngozi yako iwe nzuri, moja wapo ni kunywa maji mengi, vyakula vya asili vyenye vitamin E kwa wingi. Tumia vitu asili kama yai bichi ondoa kiini changanya nalimau jipake usoni asubuhi na jioni kama unanawa uso hivi. Unaweza pia kutumia asali kulainisha uso wako. Kama una umri wa zaidi ya miaka zaidi ya miaka 45 unaweza kutumia shahawa kupaka usoni. Kama mnafanya mapenzi basi waweza muomba mwenza wako akojolee mdoni wakati wa oral sexy na wewe meza shahawa hizo. Hii itakusaidia kuweka ngozi yako iwe laini na mng'alo wa kuvutia. Hii ni kwa wadada tu.

Unamshauri mtoto wa kiume akojolewe mdomoni na mwenza wake? Kwani umemuweka kwenye kundi gani huyo kijana?..
 
Back
Top Bottom