Dansel
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 249
- 59
Hi wana JF mimi ni mvulana nina vichunusi lakini sio sana hali iliyopelekea nipate madoa meusi na uso wangu kupoteza hali ya usoft.Nataka niwe soft kama mtoto.
Nisaidie jamani nifanye nini ili niondoe chunusi. Na hayo madoa na pia niwe soft.Ninaishi mwanza
Nisaidie jamani nifanye nini ili niondoe chunusi. Na hayo madoa na pia niwe soft.Ninaishi mwanza