G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wakuu nataka niwe na speed ktk kutype hapo mwanzo mwalim aliwah nifundisha kutype kwa kuweka vidole moja kwa moja katika keyboard na kutoangalia moniter wakati wakutype. Na pia kuna njia yakutype kawaida kwa kuchagua herufi na kugusa msaada wenu plz nitumie njia gani ili niwe na speed nzuri. Nawasilisha.