I was married on 27th April 1991 keko Lutherani Church at 16:30. We engaged in year 1988 At the UDSM. Aliyefunga ndoa yetu alikuwa Mzee malasusa (Baba ya..)
Taratibu utatueleza na jina lake. Twende!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I was married on 27th April 1991 keko Lutherani Church at 16:30. We engaged in year 1988 At the UDSM. Aliyefunga ndoa yetu alikuwa Mzee malasusa (Baba ya..)
Taratibu utatueleza na jina lake. Twende!
Nenda ustawi wa jamii pale utaandikisha kuwa ndoa yako inamgoggoro, nao watatoa hati ya kuitwa mmeo mbele ya bodi. Pia, kuna number umeziandika nyingi sasa hivi sijui ni za nini ila tafadhali ziondoe hizo number kwenye thread. zitunze mwenyewe pembeni na ukienda kwenye shauri utazitoa huko au kuweka kwenye 'petition'. Kuziweka hapa zote hizo ni kusaidia upande wa pili wajue nini kinafuatia kwenye ushahidi wako utapohitajika. Usiandike number za watu ambao huna uhakika kabisa kuwa mmeo ana uhusiano nao (mfano yule unayesema alipewa lift na mmeo). Maana kama mmeo ndo alimfuata baada ya kumpa lift na huyo mwanamke akakataa na hawana uhusiano huyo mtu anaweza kukufungulia kesi ya kumchafulia jina, baada ya kukutambua wewe ni nani.MKA thanx very much. Hiyo bodi naendaje? Nipo dar. mali zote najua zilipo hata nyumba alizojengea mahawara najua zilipo.
posti yangu ya kwanza humu,lakini haya mambo sikuyategemea-mimi ni mtu mzima lakini haya yamenizidi kimo-kweli kua uyaone
Si rahisi kukurupuka tu na kuweka thread kama hii hapa. Kwa ujumla ninaushahidi tosha. Ila nilichohitaji NI ushauri wa je, nivunje ndoa au la? na kwa kuwa huyu ni Jaji nianzie wapi. Sasa mlichoniongezea nashukuru sana. Kwani nimefunguka sana.
Ushauri wangu kwenu: MFICHA UCHI HAZAI
TIMES HAVE CHANGED tusiishie kizamani. eti mambo ya mume yafichwe ila ya mke yawe hadharani. Waambieni watoto wenu mlipojikwaa ili kwamba na wao wajifunze wasije fanya mliyofanya. Taboo zisizofaa zifanyeni kama matangazo ya condoms kwenye TV wakati wa taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Someni EZEKIEL 18 yote
Sasa pia anatishia kunifukuza ili niondoke bila haki yangu. Tuna watoto watano, ndoa ina miaka 21.
Si rahisi kukurupuka tu na kuweka thread kama hii hapa. Kwa ujumla ninaushahidi tosha. Ila nilichohitaji NI ushauri wa je, nivunje ndoa au la? na kwa kuwa huyu ni Jaji nianzie wapi. Sasa mlichoniongezea nashukuru sana. Kwani nimefunguka sana.
Ushauri wangu kwenu: MFICHA UCHI HAZAI
TIMES HAVE CHANGED tusiishie kizamani. eti mambo ya mume yafichwe ila ya mke yawe hadharani. Waambieni watoto wenu mlipojikwaa ili kwamba na wao wajifunze wasije fanya mliyofanya. Taboo zisizofaa zifanyeni kama matangazo ya condoms kwenye TV wakati wa taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Someni EZEKIEL 18 yote
Nadhani unge soma katika ya mistari me nime kushauri utafute ushahidi vizuri na uhifadhi si ku expose kwani ujui maadui zako wanaweza kuhuharibu na kwa sasa mme wako hana kosa mpaka ithibitike! Kosa unalo fanya ni ku expose ushahidi ambao unge kusaidia. Na ukumbuke ulio wa analyse humu wana haki zao pia wanaweza kukusue kwani bado ijathibitika kisheria wanatembea na mmeo!
Na kushauri uvunje ndoa lakini huu ushahidi uifadhi kwanza, utauonesha kwenye baraza la usuluhishi au mahakamani.
Swala la kukufukuza hanaweza lakini sheria itafata mkondo, wewe ukiwa mwanandoa wake utapata haki zako mfano
*kama kuna mali mlichuma pamoja mtagawana
*kama mna watoto wana hitaji matunzo atagharamia
Nakuunga mkono...hii imeshakuwa vita;
Adui apaswi kujua silaha zote ulizo nazo.
Mbilia; usiendelee kutoa vielelezo zaidi humu; haita kusaidia ila itafanya wabaya wako wajipange.
Wewe subiri kuwa suprise siku ya siku.
Nakutakia kila la heri mamito.
Mimi mpaka leo nina evidence ambazo zinaumiza watu vichwa...watu wakajifanya mafia kuyafuta ma faili yangu kumbe nina ma back up ya kufa mtu...
Kusanya kusanya eviedence hizo...zitakusaidia siku za usoni.
kumbe umeachika...hahaha, mwanamke ambaye hawezi kulinda ndoa yake huyo ana kasoro kubwa. ukiona mwanamke anapenda matalaka kama hao wanawake wa legal and human right centre, ujue huyo mwanamke ana kasoro kubwa mno. pole kama na wewe ulikwenda court kuomba talaka.Nakuunga mkono...hii imeshakuwa vita;
Adui apaswi kujua silaha zote ulizo nazo.
Mbilia; usiendelee kutoa vielelezo zaidi humu; haita kusaidia ila itafanya wabaya wako wajipange.
Wewe subiri kuwa suprise siku ya siku.
Nakutakia kila la heri mamito.
Mimi mpaka leo nina evidence ambazo zinaumiza watu vichwa...watu wakajifanya mafia kuyafuta ma faili yangu kumbe nina ma back up ya kufa mtu...
Kusanya kusanya eviedence hizo...zitakusaidia siku za usoni.
kumbe umeachika...hahaha, mwanamke ambaye hawezi kulinda ndoa yake huyo ana kasoro kubwa. ukiona mwanamke anapenda matalaka kama hao wanawake wa legal and human right centre, ujue huyo mwanamke ana kasoro kubwa mno. pole kama na wewe ulikwenda court kuomba talaka.
kifupi ni kwamba, unamshauri mwenzio aombe talaka kama ulivyofanya wewe? itamsaidia nini? unataka awe nung'ayembe kama wewe?...hahaha. mbilia usichukue ushauri wa huyu...kwani unafikiri evidence gani unahitaji katika kesi ya talaka? kwa kifupi ni kwamba, talaka haitolewi court hadi pale yamefanyika usuluhisho kwenye conciliation board, hao wasuluhisi wakishindwa na ikaonekana kuwa kulingana na ushahidi, ndoa hiyo imekuwa broken irreparably, basi talaka inatolewa kwa wakristo......sasa, kwa hayo tu ambayo anayaongea hapo, ameshika msg etc, hana ushahidi kuwa wamefanya ngono....hajawafumania...hawajaenda hata kwa ndugu kusuluhisha, hawajaenda kwenye balaza la usuluhishi, mahakama haiwezi kumpokea kabisa. labda kama ana lingine.
anavoandika anaonekana ni ugomvi wa kawaida tu ambao ukipoa watarudiana....asihangaike kuomba talaka, ndoa hiyo haijavunjika irreparably. ....