Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
ahahaaaa mji huuu umbea wenyewe tunaletewa hadi mkononi mamaUmeona Smile...wacha atiririke ndio mahawara watajua kama mume wa mtu ni sumu....
ahahaaaa mji huuu umbea wenyewe tunaletewa hadi mkononi mamaUmeona Smile...wacha atiririke ndio mahawara watajua kama mume wa mtu ni sumu....
usiogope mama dai kilicho chako uishi kwa amaniNawashukuru sana kwa maoni yenu. ijulikane kuwa ndugu zangu wakubwa wote wamefariki mimi ndo mkubwa sasa. Ktk msg zingine za aliyeolewa zinaonyesha wake na mawifi wakiwasiliana na mwolewaji. Pili nina ngeo ya nyuzi 5 kichwani na ya mdomoni niliona aibu kwenda hospital ili tu nimlindie heshima. Sasa nikiwa mkristo huko kanisani nilikwenda lakini alifika na kuwahonga wachungaji (majina ninayo ili waseme huwa nasali nini huko kanisani), alinambia mwenyewe wakati akiwabeza wachungaji. Nacho hitaji ni ushauri. Huyu ni mtu. Wangapi baba zao walikufa juu ya wasichana ktk magesti house na wapo. Usinibeze hata kidogo, am old enough to ask for your opinions. Ukinibeza nakuona kama ni mmoja wa visichana hivi. we are above 50yrs old.
Ebu kabla ya kunibeza fikiria janga hili la HIV hao watoto wataenda vipi shule? I welcome anyone with positive opinions than humiliations which am suffering from. Usiniongezee hilo.
Thanx. Ni kwa nini mtu aifiche dhambi? Ni maandiko gani yanayotetea dhambi kwa kuificha?
Nawashukuru sana kwa maoni yenu. ijulikane kuwa ndugu zangu wakubwa wote wamefariki mimi ndo mkubwa sasa. Ktk msg zingine za aliyeolewa zinaonyesha wake na mawifi wakiwasiliana na mwolewaji. Pili nina ngeo ya nyuzi 5 kichwani na ya mdomoni niliona aibu kwenda hospital ili tu nimlindie heshima. Sasa nikiwa mkristo huko kanisani nilikwenda lakini alifika na kuwahonga wachungaji (majina ninayo ili waseme huwa nasali nini huko kanisani), alinambia mwenyewe wakati akiwabeza wachungaji. Nacho hitaji ni ushauri. Huyu ni mtu. Wangapi baba zao walikufa juu ya wasichana ktk magesti house na wapo. Usinibeze hata kidogo, am old enough to ask for your opinions. Ukinibeza nakuona kama ni mmoja wa visichana hivi. we are above 50yrs old.
Ebu kabla ya kunibeza fikiria janga hili la HIV hao watoto wataenda vipi shule? I welcome anyone with positive opinions than humiliations which am suffering from. Usiniongezee hilo.
Thanx. Ni kwa nini mtu aifiche dhambi? Ni maandiko gani yanayotetea dhambi kwa kuificha?
Nawashukuru sana kwa maoni yenu. ijulikane kuwa ndugu zangu wakubwa wote wamefariki mimi ndo mkubwa sasa. Ktk msg zingine za aliyeolewa zinaonyesha wake na mawifi wakiwasiliana na mwolewaji. Pili nina ngeo ya nyuzi 5 kichwani na ya mdomoni niliona aibu kwenda hospital ili tu nimlindie heshima. Sasa nikiwa mkristo huko kanisani nilikwenda lakini alifika na kuwahonga wachungaji (majina ninayo ili waseme huwa nasali nini huko kanisani), alinambia mwenyewe wakati akiwabeza wachungaji. Nacho hitaji ni ushauri. Huyu ni mtu. Wangapi baba zao walikufa juu ya wasichana ktk magesti house na wapo. Usinibeze hata kidogo, am old enough to ask for your opinions. Ukinibeza nakuona kama ni mmoja wa visichana hivi. we are above 50yrs old.
Ebu kabla ya kunibeza fikiria janga hili la HIV hao watoto wataenda vipi shule? I welcome anyone with positive opinions than humiliations which am suffering from. Usiniongezee hilo.
Thanx. Ni kwa nini mtu aifiche dhambi? Ni maandiko gani yanayotetea dhambi kwa kuificha?
I was married on 27th April 1991 keko Lutherani Church at 16:30. We engaged in year 1988 At the UDSM. Aliyefunga ndoa yetu alikuwa Mzee malasusa (Baba ya..)Inawezekana pia ni mke halali wa huyo jaji. So just give her a benefit of a doubt for now. The truth will ultimately come out.
Mbilia nimepiga hizo namba hazipatikani! AMA zimezimwa?
Kitu gani humuelewi mkuu?
She kows that I know akiwa Bangkok Nilimweleza. Tatizo ni kutetewa na Mh.
Mla nawe hafi nawe ilia mzaliwa nawe!!!!!. CCM sio mama Yangu alisema Nyerere. Kama mapenzi yameisha basi, SANA SANA KINACHOFUATA NI UKIMWI-YOTE YANAWEZEKANA. And in most cases watu kama hao wanatembea na bar maids ambako maambukizi ya ukimwi ni makubwa. Atafakari sana. Jitu lina malaya kibao, TAFAKARI, CHUKUA HATUA
ungevaa viatu vyake ndio ungeeleweka
Hujui pain and humiliation kaisi gani anapitia huyo dada....
kwenye mateso hakuna too late, ndio maana mandela alikaa jela for years but when he got out, he felt as free as a bird
Mbilia hajachelewa, ni fikra za kitumwa zinazoonyesha mwanamke hawezi kuishi peke yake au hana thamani, she can live signle and yet successful and everything
PIA ANAHITAJI MWANAUME WA KUMPA RAHA NA SIA KARAHA
TUSISAHAU LA HIV IWE AMESHAPATA MAAMBUKIZI AU LA
ninyi watu wawili mmeongea ujinga kama mna akili za kuku wa kisasa vile. nampongeza CHUAKACHARA, ameongea point na nafikiri mama akichukua hatua/ushauri huu utamsaidia. aende kwa jaji kiongozi etc kama alivyoshauriwa. lakini ninyi wengine wawili ambao nimewakoti hapa, akili zenu ni za kinyama sana. hamfai kutoa ushauri kwa mtu ambaye yuko kwenye tatizo, mnaweza hata kumshauri mtu anywe sumu ili afe. akili zenu ni za shetani kabisa. nasema hivi kwasababu ukisoma uyu mama alivyoongea, na thread zake mbili alizoanzisha, utakuta kuwa, pamoja na kwamba anaomba ushauri wa kutaka talaka, sio kwamba anataka talaka. bado anaonekana kumpenda mumewe na anahangaika kumpokonya kutoka katika mikono ya malaya hao aliowataja. kwenye thread yake moja ameongea kuwa amemuona mumewe anaongea na simu akahisi anaongea na mwanamke wake. nafikiri huyu mama ana mpenda sana sana mumewe ndo maana ana wivu wa aina hii. ana wivu sana sana. na amekasirika amefikia mbali sana, anahitaji msaada ili chochote atakachokifanya kwa sasa asijekujilaumu baadae kuwa alienda haraka. kwa kifupi ni kwamba, kama mnasema ukimwi, akiachika, huyu atakayeenda kumpata mpya wa kuzeeka naye atakuwa salama? atakuwa na upendo wa rohoni kuliko yule aliyekaa naye miaka 21? unajua kuwa mtu ukioana naye mkakaa miaka yote hiyo ni sawa tu na mwili mmoja? hatawakuja waachane kamwe hata kama watatengana na kutengana kwa aina hii huleta vidonda ndugu kwenye mioyo na mvurugano wa ajabu. siku ingine muwe na akili kushauri watu mambo mazuri, msiwatumbukike shimoni zaidi wakati mnaona wapo kwenye wakati mgumu. watakuja kuwalaumu hasira zao zikiisha kuwa mliwashauri vibaya. yaani hapa jf kuna watu wengine huwa naweza amini kuwa sio binadamu wa kawaida, labda majini nayo yametengeneza account humu ili kuharibu watu. akili za kishetani kabisa kutoa ushauri kama huo kwa mtu ambaye yuko njia panda.....kama ukimwi unaweza kuupata popote pale, na kama huna mume au mke kama nyie mliotoa ushauri huu ndo ukimwi utaupata haraka kuliko wengine. akitengana huyo atapata ngoma fasta kuliko akiwa kwenye ndoa yake ya 21 years. NINYI MLIO TOA USHAURI MBAYA, KAMA NDOA ZENU ZILIWASHINDA MSITAFUTE WANACHAMA WENZENU WA TALAKA, bakieni na matalaka yenu hukohuko...mnaongea kama vile ndoa ziliwashinda na mnataka kila mtu afuate nyayo zenu..mnakera sana aisee.Nenda kwa Jaji Mkuu/ Jaji kiongozi. nakupa mfano: Kuna jaji mmoja ambaye alikuwa anafanya mambo kama hayo, tukamshauri aende mke wake kwa Jaji Mkuu amshitaki/amlalamikie kama usuluishi. Ilisaidia, jaji aliacha upuuzi angalau yale ya kukataa kutunza watoto, kutaka kumfukuza alikoma. jaribu njia hiyo. Ikishindikana tafuta mwanasheria akuongoze. Una haki zote kisheria kugawana chochote mlichopata pamoja-matrimonial assets. Nitakupa reference cases ambazo landmark cases katika tanzania kuhusiana na mgawanyo wa mali kati ya mme na mke. If you like just PM. Pole sana
sielewi yafuatayo.
Mtu wa miaka 45+ kushindwa suluhisha ndoa yako kwa busara bila kuathiri maslahi ya familia. Eti wazazi hawapo, wakati huo huo unajiandaa kupata wakwe toka kwa watoto wako, utawasaidia kusuluhisha nini?
Kuweza muanika mmeo halali kwenye mitandao ya kijamii kama hii, kwa mtu wa miaka 45+ nashinda mwelewa.
Hii panic ya jana kaipata wapi maana ndoa ya miaka 21 tabia ya mmeo kama ya umalaya haijaanza jana tu, huo mshangao wa jana umetoka wapi??
Ukiachana na ushabiki, utafurahi ukiona mama yako kachukua njia hii kusuluhisha mgogoro wa ndoa, hata baba yako mkosaji??
Hajawavua nguo familia nzima? Labda mie nayechangia hapa ndio kijana wake wa chuo kikuu atajuaje??
Katika familia chunga hasira zako zisiathiri watu wako wa karibu, hivi ameshindwa hata shirikisha watoto wake kabla hajaweka details zote hapa??
Haya huyo jaji mahakama kuu ya ardhi si anajulikana, wabaya wake hata wa kazi hawatataumia hili against himu??
Hapo hapo usifikiri kaacha kuwa tegemezi kwa huyo mmewe, bado ni tegemezi kwa jinsi navyomuona.
Hakuna mwanamke mwenye upeo anaweza fanya hili kwa familia yake ni boya tu.
Hapa watu tunashabikia sababu tunataka umbea si kwamba tunaumia naye kivileee, ila kachemsha mbaya, hasa nikiangalia na umri wake.
mmmhh, sijui unapitia nini lakini kwa mie siwezi muanika mme wangu hivi.
Hawara sawa nitamwamnika, mme hell no.
Ni aibu yako, ya watoto, ya ndugu zako, ya ndugu zake, na yeyey mwenyewe.
Kama umeshindwa, kwa nini usifanye maamuzi na kuondoka na kushirikisha familia zenu ukapata haki zako??
Umeamua kumuabisha ili akome? Haikusaidii kwa kweli.
Kwa details ulizotoa hapa sijui magazeti ya udaku yapate, yamwanike ukurasa wa mbele, unadhani watoto wako watasoma huko chuo kwa wiki nzima.
Nimekukasirikia sana wewe mama, ume-act kama mala.ya aliyechukuliwa na mwanamme kwa usiku mmoja, kamwaga mboga umemwaga ugali. Nadhani nafasi ya mke wa ndoa ni zaidi ya hicho ulichofhanya.
Unaamini watu wa hapa kuliko hata nduguzo? Nina maswali kibao, umenishangaza kama mke wa kiaka 21 anaweza fanya hivi.
Kosa la umalaya limefuta wema wake mwingine wote aliowahi kufanyia hadi kumvua nguo hivi? Hebu mkumbuke tangu day 1 anakutongoza, hadi mnaoana, hadi mnapata watoto, hakuna jema hata moja??
Umenikumbusha story ya biblia, abrahamu alivyokuwa anambembeleza malaika wasichome sodoma na gomora. Hata ukikuta watu wema 20, utachoma mji, malaika anajibu hapana, nitawasamehe.
Wewe nawe umekosa hata jema moja la kumsamehe mmeo? Afu usipende kupayuka ukiwa na hasira utajuta siku moja.
Hadhi gani? mtu ambaye ni kahaba au fisadi au mwizi au pagani i.e mtu asiyemtii Yesu au kafiri ana hadhi gani ya kuitwa human being?