Nataka kuuza biashara yangu

SUYA

Senior Member
Jun 24, 2009
131
21
Naomba ushauri jinsi ya kujua value halisi ya biashara.je ni asset zilizopo.eneo ilipo biashara ,au ni faida inayopatikana kwa mwezi au mwaka.
Aina ya biashara ni stationery .
Na wasilisha
 
Naomba ushauri jinsi ya kujua value halisi ya biashara.je ni asset zilizopo.eneo ilipo biashara ,au ni faida inayopatikana kwa mwezi au mwaka.
Aina ya biashara ni stationery .
Na wasilisha

njia rahisi ni dhamani ya Asset ulizonazo + Goodwill(eneo uliloweka biashara)
 
unaangalia market value (realization value) ya asset zako jumlisha goodwill ndo unapata thamani ya biashara yako. sasa goodwil value yake inategemea uwezo wa business yako kutengeneza faida
 
Taja bei inayokutosha, pamoja na eneo biashara yako ilipo ili watu wajue kama inalipa wanunue. Ukianza ku-complicate mambo hapa hutapata wateja.
 
Taja bei inayokutosha, pamoja na eneo biashara yako ilipo ili watu wajue kama inalipa wanunue. Ukianza ku-complicate mambo hapa hutapata wateja.
<br />
<br />
anachokifanya cha msingi kabisa. Wewe mwenyewe akikwambia bei lazima utataka ujue thamani ya kimoja baada ya kingine.
 
unaangalia market value (realization value) ya asset zako jumlisha goodwill ndo unapata thamani ya biashara yako. sasa goodwil value yake inategemea uwezo wa business yako kutengeneza faida
Mh, mkuu hii ni goodwill ninayoijua au?
 
biashara ya stationery ?
kwanini unauza?
pm wid details...as m finding a business to do in bongo !
 
Naona mkanganyiko kdogo kwenye suala la "good will". Kwanza naomba tupewe kiswahili chake halafu pia naomba mwenye data za uhakika kuhusu maana yake amwage hapa.
 
Acha longolongo na kutafuta data za kujibia research yako..unauza sema biashara ipo wapi, una nini na nini ndani ya hiyo biashara taja na bei sie wanunuzi ndio tutajua kwa bei unayosema inalipa kununua au hailipi..full stop.zaidi ya hapo hapa utapata siasa na lecture za economix mara utasikia depressiation value mara utasikia market intergration analysis mara utasikia coefficient of marketability and complexity in return value ..etc.ni maoni tuu.
 
Naona mkanganyiko kdogo kwenye suala la "good will". Kwanza naomba tupewe kiswahili chake halafu pia naomba mwenye data za uhakika kuhusu maana yake amwage hapa.
MKUU KAMA HIYO "GOODWILL" INAKUKANGANYA JE NIKIINGIA NA "ILL-WILL" SI NDIO UTAKUFA KABISA...acha bwana watu tuna "NONDO ZA KUTISHA KUNAKO UCHUMI"...ndio maana hata mkuu wa nchi alivyoulizwa "unadhani afrika na tanzania ikiwa moja wapo ya nchi za afrika yenye resources kibao kwanini haiendelei kiuchumi ?" akajibu "SIJUI.... ilhali amesoma uchumi....anyway forget that...frastrations za maisha ndo zinanisumbu....tuna dhahabu tubagawa bure mpaka mchanga na kutimua wananchi wetu ili tuwakuzie uchumi wageni..arghhhhhhh.
 
mimi sio mchumi ila nilitaka kujua dhaman halisi ya biashara kama yangu pindi ninapotaka kuiuza maana wengi huangalia tu mali zilizoko ndani na matengenezo yaliyofanyik a.kwangu mimi nafikiri dhamani ya biashara mtaji niliowekeza. 1.kama hela niliyotumia .2.eneo ilipo biashara.3.nguvu na maarifa niliyoyumia. na mwisho kabisa faida inayopatikana
 
Kuna njia zaidi ya moja ya kuvalue thamani ya biashara yako, moja wapo ndio hiyo waliongee wengi kwamba unachukua thamani halisi ya sasa ya asset zako (Fair Market Value of the asset) unajumlisha na Goodwill. Goodwill ni muungano wa mambo mengi na hakuna njia moja maalumu ya kuitafuta, bali kuna njia zaidi ya tano. Moja wapi ni ya kuangalia faida yako kwa miaka 3, kisha tafuta average ya faida hiyo. Then zidisha na mara mbili ya faida. Hii ni simple method, na nina imani kwa stationary store huitaji moving average method au other complicated FMV methods.
 
mwelekezeni kama mtu mnayetaka kumsaidia kuliko kumchanganya mfano anzeini naye katika kupat faida kwamba faida inapatikana baada ya mapato toa manunuzi na gharama zingine.mtaji inajumlisha mali na working capital ulio anzia. taratibu ikiwezekana atengenezewe simplified business financial staement kuliko kumpa nondo naogopa karibu mtamwambia atafute ratios
 
Back
Top Bottom