Chuda Kashara
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 849
- 548
Mabibi na Mabwana wa jukwaa Salaam.
Umekuwepo uhitaji wa kuwa na ID ya pili kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wangu.
Tatizo napata shida ya kubuni username bandia, nimekuja kwenu kuomba ushauri.
Je ungependa niipe hii ID mpya jina gani?,,,,,,,Karibuni kwa mapendekezo.
Umekuwepo uhitaji wa kuwa na ID ya pili kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wangu.
Tatizo napata shida ya kubuni username bandia, nimekuja kwenu kuomba ushauri.
Je ungependa niipe hii ID mpya jina gani?,,,,,,,Karibuni kwa mapendekezo.