Nataka kupima ngoma

...hata wasipowapa majibu, hali ya mama na kichanga zikiwa bado imara miaka miwili na zaidi (bila ukurutu na majipu ya hapa na pale) aaahhh, 'umevuka'!!!

Mkuu, taabu ni pale kama uliendeleza kuuza mechi hata baada ya mtoto kutia timu.

Kupima ngoma si mchezo wazee kama your past history kwenye mambo hayo haivutii. Cha msingi sana ni kubadili tabia kabisaaaaa kabla hata hujapanga kwenda kupima.
 
Yo Yo inaonekana hali yako ni more serious kuliko wengi wanavyodhani jumu JF. Inaonekana kabisa hujawahi kupima maisha mwako, but whater the case ushauri wangu ni huu;

1. Jipange sawasawa. Adhimia kuacha kuuza mechi na kubadili tabia kabisa.

2. Walete ndugu na jamaa karibu. Patana na uliokosana nao warudie uliowatosa na watembelee au rudhisha mawasiliano na ndugu wa karibu ambao hujawasiliana nao au kuwaona kwa muda mreru.

3. Ikiwezekana (ni vizuri zaidi) go back to your roots. Tembelea makaburi ya ndugu zako wa karibu waliokwisha fariki hasa ya parents and grandparents kama walishakwisha udanchi.

4. Jielimishe sana kuhusu ukimwi na kusanya litereature za nini mwenye ukimwi anatakiwa afanye anapopata matatizo kadha wa kadha ya afya.

5. Tafuta ushauri nasaha na umueleze mshauri uwoga wako wa kupima. Baada reason out why should not fear death even it came tommorrow. Jaribu kuona kuwa hofu ya kufa sio ya lazima sana (kufa sio lazima kutishe kiasi hicho).

6. Jitoe mhanga na uende kupima bila kujali matoke yatakayo jiri.

7. Ukiambiwa uko positive, tulia kwanza, usipanick. Subiri state of denial iishe halafu jaribu kuwashirikisha ndugu wa karibu sana kwanza na baadae jitangaze. Siri ndio inayouwa wenye ukimwi wengi mapema.

Kazi kwako
 
mkakati simpo (usio wa kidaktari) wa kupata ujasiri wa kupima ngoma ni kwa kuanza na kupima mkojo. ukiona white blood cells zipo nyingi ujue uwezekano wa ngoma upo juu lol halafu mkojo unaweza pima hata home tu.
 
mkakati simpo (usio wa kidaktari) wa kupata ujasiri wa kupima ngoma ni kwa kuanza na kupima mkojo. ukiona white blood cells zipo nyingi ujue uwezekano wa ngoma upo juu lol halafu mkojo unaweza pima hata home tu.

Mkuu Kafara, is this a fact?

Mkakati usio wa kidaktari maana yake nini? tuwe serious wazee, najua kuna watu kibao humu ndani wanaface same issue kama Yo Yo na wameuchuna huku wakifuatila kila ushauri unaotolewa hapa.

So, tell us more...nipo interested na hii
 
YoYo pia siku hizi ukimtia mwanamke mimba ni lazima wampime kirusi so unaweza kupata status yako kupitia kwa mwenzako, japo kuwa njia hii siyo 100% lakini unaweza kupata ma hope kidogo.

...hata wasipowapa majibu, hali ya mama na kichanga zikiwa bado imara miaka miwili na zaidi (bila ukurutu na majipu ya hapa na pale) aaahhh, 'umevuka'!!!

KKN na Mbu, mnapotosha!

KKN,
Hakuna sheria inayolazimisha mama mjamzito kupima ngoma. Hivyo basi, kama madaktari bongo huwa wanawakwida mama wazajawazito kupima ngoma, basi wanakiuka sheria za nchi na za haki za binadamu.

Kinachotokea huwa ni madaktari wanapaswa kuwapa ushauri wa nguvu wajawazito kuhusu umuhimu wa upimaji wa ngoma. Ushauri huo wakati mwingine unaweza ku-sound kama ulazimishaji. Lakini, at the end of the day, uamuzi wa kupima bado unabaki kwa mama mwenyewe.

Mbu,
Mtoto kupita daraja la miaka miwili sio kigezo kuwa baba/wazazi wamepona. Kumbuka kuwa mtoto anaweza kuzaliwa bila ya ngoma hata kama wazazi wanayo. Isitoshe, mtoto aliyezaliwa na ngoma anaweza kugonga hata nyundo 5 (au zaidi) kama analelewa kwenye mazingira mazuri na anapata lishe nono.


Kwa hiyo basi tusitumie vigezo vya mamsapu kujifungua salama na mtoto kusherekea besidei ya miaka miwili kama ishara ya kuwa afya zetu ziko supa.

Njia pekee ya kujua kama damu yako haijachafuka ni ile ya wewe mwenyewe kwenda kupima. Nukta.
 
Kupima ngoma, kama historia yako ni mbaya, ni sawa na kuchungulia karibu maana unapoenda kupima unakuwa na mawazo mengi.

Kumbuka Yo Yo kucheza mechi nyingi na timu mbalimbali isikuweke katika hari ya kuwaza kuwa una ngoma 100%. Mbona kuna watu wanacheza mechi moja, and then wanaenda kupima na kukutwa na ngoma. pia kuna watu ambao wanacheza mechi 10 mpaka 15 kwa MWEZI at the end wanaenda kupima na kukutwa hawana. Ingawa probability ya kukutwa nayo ukiwa na mechi nyingi ni kubwa. Kwahiyo vimechi vyako hivyo visikufanye uogope kupima, kapime man.

Nenda man, ukikutwa una ngoma usiwe unaiwaza sana maana ukiiwaza sana basi unakufa faster faster
 
Hivi serikali ikiamua kuwa upimaji wa HIV (UKIMWI) ni lazima, itakuwaje? Au ndio itaongeza mianya ya kutoa na kupokea rushwa na utafutaji wa vyeti feki, vikionyesha kuwa wewe ni NegativePlus?

Nadhani imefikia wakati sasa serikali ikapitisha sheria ya upimaji wa HIV kuwa ni LAZIMA.
 
Yo Yo inaonekana hali yako ni more serious kuliko wengi wanavyodhani jumu JF. Inaonekana kabisa hujawahi kupima maisha mwako, but whater the case ushauri wangu ni huu;

1. Jipange sawasawa. Adhimia kuacha kuuza mechi na kubadili tabia kabisa.

2. Walete ndugu na jamaa karibu. Patana na uliokosana nao warudie uliowatosa na watembelee au rudhisha mawasiliano na ndugu wa karibu ambao hujawasiliana nao au kuwaona kwa muda mreru.

3. Ikiwezekana (ni vizuri zaidi) go back to your roots. Tembelea makaburi ya ndugu zako wa karibu waliokwisha fariki hasa ya parents and grandparents kama walishakwisha udanchi.

4. Jielimishe sana kuhusu ukimwi na kusanya litereature za nini mwenye ukimwi anatakiwa afanye anapopata matatizo kadha wa kadha ya afya.

5. Tafuta ushauri nasaha na umueleze mshauri uwoga wako wa kupima. Baada reason out why should not fear death even it came tommorrow. Jaribu kuona kuwa hofu ya kufa sio ya lazima sana (kufa sio lazima kutishe kiasi hicho).

6. Jitoe mhanga na uende kupima bila kujali matoke yatakayo jiri.

7. Ukiambiwa uko positive, tulia kwanza, usipanick. Subiri state of denial iishe halafu jaribu kuwashirikisha ndugu wa karibu sana kwanza na baadae jitangaze. Siri ndio inayouwa wenye ukimwi wengi mapema.

Kazi kwako
mkuu hali hii inawakuta wengi sana.......hakuna alie tayario kwenda kupima kwa hiyari unless kuwe na shinikizo.....

.......kitu nilichogundua kwa maoni mengi ni kuwa upimaji wa bongo hauna hope zaidi ya kujua una ngoma ni tiketi ya kufa mapema......wale washauri nasaha wengi wao ndio ambao baada ya kukupima kesho yake uswahilini mtaa mzima wanajua una ngoma......
na utanyanyapaliwa utafikiri sijui nini....

.....wengi wenu mmeniambia niakpime tu ati nijikaze nikububaliane na majibu....nivute pumzi niandelee na maisha.....jiweke kama ni wewe uambiwe leo una ngoma......utaendelea na mipango yako uliyokuwa unapanga maishani?
......
....jamani ushauri wenu nawashukuru sana kwa kunipa lakini sijaona ambao utaniwezesha niwe na faraja.....mkuu laverite ushauri mzuri sana....

...alafu wakuu sual;a la kuuza mechi asikuambie mtu wengi tunauza sana.....unakutana na kicheche maisha club kika unavaa ndula kwa muda wa mwezi....muda unavyokwenda unakizoea unavua ndula...njwaaaaaaa

......nasubiri mawazo yenu zaidi labda yataniongezea ujasiri kwa kutoa kisusio..............
 
...hata wasipowapa majibu, hali ya mama na kichanga zikiwa bado imara miaka miwili na zaidi (bila ukurutu na majipu ya hapa na pale) aaahhh, 'umevuka'!!!


tUSIJIDANGANYE!
ne Je discordant couples ambapo unakuta mmoja ana Hiv wakati mwingine hana?
Ukute wewe unayejipa matumaini kuwa kwa vile mama yuko fresh na mtoto basi huna, utakuwa unajikosea mwenyewe.
YoYo kaza moyo kama ulivyokuwa unajitosa upime ujue hali yako ili uanze kuishi kwa matumaini mapemaaaa.
 
Last edited:
kuna kits za rapid test.Nunua ujipime mwenye ila ukikosea kusoma majibu, utajifia bure ilhali kumbe huna ngoma wala nini.
 
Nenda ukapime then unatoka nduki bila kuchukua majibu, kaa utafakari na itafikia stage ambayo utapata hamu sana ya kujua majibu yako na itajisalimisha mweeenyewe bila kumwuliza mtu.
 
mkakati simpo (usio wa kidaktari) wa kupata ujasiri wa kupima ngoma ni kwa kuanza na kupima mkojo. Ukiona white blood cells zipo nyingi ujue uwezekano wa ngoma upo juu lol halafu mkojo unaweza pima hata home tu.

uongo kabisa.
 

Yo Yo nenda kapime unaweza ukajikuta wewe ni kama wale jamaa wa Uganda... Hawapati Ngwengwe... hata wakishiriki na waathirika... Baada ya hapo unaendeleza dry au kwa lugha nyingine M-BICHI-M-BICHI LOL...

Sio kichekesho hicho we pwagu wewe. Yo Yo akikutwa ana kinga ya asili basi aendeleze kufanya mapenzi "dry...mbichi mbichi" aeneza mdudu na kuua, kwa vile yeye ana kinga, unadhani utani huo? Halafu unajichekesha. Mijitu mingine sijui imejaa mataputapu na turkey stuffing ndani ya fuvu?
 
Naona wengi tungefurahi kama ingetokea mtu au kampuni ika develop kamtambo ambako unakanunua na kujipima mwenyewe ukiwa chumbani kwako kimyaaaaa, majibu siri yako!
YoYo pia siku hizi ukimtia mwanamke mimba ni lazima wampime kirusi so unaweza kupata status yako kupitia kwa mwenzako, japo kuwa njia hii siyo 100% lakini unaweza kupata ma hope kidogo.
haifai hii; mmoja aweza kuwa na maambukizi mwingine akawa hana, na intokea mara nyingi, shurti kila mtu apime binafsi.
 
...hata wasipowapa majibu, hali ya mama na kichanga zikiwa bado imara miaka miwili na zaidi (bila ukurutu na majipu ya hapa na pale) aaahhh, 'umevuka'!!!
mkeo aweza kuwa na ngoma wewe usiwe nayo, na mtoto vile vile wazazi waweza kuwa na ngoma yeye akawa salama - hivyo bora kila mtu apime.
 
KKN na Mbu, mnapotosha!

KKN,
Hakuna sheria inayolazimisha mama mjamzito kupima ngoma. Hivyo basi, kama madaktari bongo huwa wanawakwida mama wazajawazito kupima ngoma, basi wanakiuka sheria za nchi na za haki za binadamu.
mama mjamzito kupima ngoma bongo ni hiari mpaka sasa.
 
kuna kits za rapid test.Nunua ujipime mwenye ila ukikosea kusoma majibu, utajifia bure ilhali kumbe huna ngoma wala nini.
rapid tests ziko 'very sensitive' hivyo waweza kupata false positive results, hazishauriwi kabisa kutumia on your own, ni kwa ajili ya screening. hata kwenye vituo vya ushauri nasaha wakikuta uko positive kwenye rapid test moja lazima wahakikishe kwa nyingine, la sivyo waweza kupata mshtuko wa maisha wakati hauna maambukizi. kwa hiyo ukitumia njia hii bado uko pale pale inabidi kwenda ku-confirm.
 
kwanza hongera sana kwa kuwa na ujasiri wa kuamua kwenda kupima, nakushauri we nenda tu kwani kujua kwako kutakusaidia sana hapo baadaye kulikoni kukaa na wasiwasi ambao sio mzuri.
Jitahidi uende mapema.
Kila la heri
 
Back
Top Bottom